Dark days 17/03/20

Kama ndiyo hivyo tunahitaji Maombi ya Mungu kututoa hapa.

Yani Ridh-one awe Rais ... Ohhh what the f*ck😑
 
Kusema kweli kabla hata Yoga hajaja na bashiri yake ya leo, kila kitu kilikuwa kinaonekana kete zinasukumwa ili mwisho RIZ awe RAHISI na sio vinginevyo.

Kuanzia Marope kuwekwa pembeni, Katelephone kuambiwa asirudi, M-cave kuachishwa, Machungwa kuondolewa kwenye u minister, Guys kupewa uPM, n.k lengo ni kumuondolea dogo vikwazo vya kwenda jumba jeupe.
 
Mpaka sasa Humphrey Polepole was right in every aspect. Ila hiyo Army inside Army itatugharimu sana kutoka hapo kama ni kweli. The most complicated situation ever!
Ndiomaana wanaosema Polepole bado yuko hai labda kama waliomchukua sio wenyewe, ila kama ni wenyewe sidhani kama walikaa nae hata siku mbili kwa namna alivyowasanua
 
Haiwezi kuwa, 2030 lazima atoke Dini tofauti na ya CEO wa sasa, huyo Prince asubiri hadi 2040.
 
Ni sawa ila sio 2030, huyu asubiri hadi 2040.
Wee hapatakalika mbona. Lol
 
Nyerere alikuwa mjinga na siku zinavyozidi kwenda CCM ndiyo wanazidi kumvua nguo. Alikipenda chama kuliko nchi. Alikuwa na anafasi ya kubadili katiba kipindi cha Mwinyi akakaa kimya. Samia atamsikilizaje Nyerere wakati Mwinyi na Mkapa hawakumsikiliza na hawakufanywa lolote. Tunazidi kuzunguka na hatupigi hatua. Inabidi kila kijana ajifunze historia kuanzia uhuru mpaka leo. Maana kila tukipata kiongozi tutazidi kurudishwa nyuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…