Dark days 17/03/20

Ukiangaliga zile sizoni , SI waga Kuna previously....... 😂
😂😂😂😂😂 sasa mahii, hii ya kurudia unatonesha vidondaa.
Yaan mie nikiona ndani ya story kunae huyo mtoa zawadi, nachukia na kukereketwaa, yaan naumia hatariii.

Sasa wee mahii, mko huko koridoni mnashindwa namna ya kumng'oa kucha huyo mtoa zawadii?? 😂😂😂😂😂

Afu vipi kuhusu mpokea zawadi, tunasikia tetesi eti anao anao, jeee?? Kulikoniii??
Tujuzeeee
 
Duh britanicca nae sijui bipi jmn
 
Naanza kuelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…