Dark days 17/03/20

Unakumbuka 2015?
Pale mbowe alipoouza chadema na slaa kuhamisha Siri zote kupeleka ccm nikajua nchi Haina upinzani

Lema akavuta na kukimbilia Canada, sumaye na Lowassa wakaenda chadema

Baada ya muda chadema ikawa chakademus, mamvi na sumaye wakarudi kambani

Ikabaki chakademus and plier (baba dumbwi na domo)

Sasa imeku chakandumuz - domo kawa man alone
 
sifa moja wapo ya GT nikuona pia mtazamo wa mwingine bila kuutweza
 
Ayatola wa Tanzania wa mchongo, muhuni muhuni, Fisadi baba wa mafisadi Tz kwa kumwongopa Edo na team yake alihamishia Dodoma makomando ili awe na ujasiri wa kumkata Edo,
Nadhani wazalendo wasipokuwa makini ndicho atakachokifanya
 
Eti Ayatolah wa Mchongo wa Tz,

Chawa wake Wanajidai kumpa jina la Master wa siasa ZT,
Hana lolote, Mwonga, mbinafsi, amejaa islafu.

Kwa kumwongopa Manywele kipindi kile alijaza makomando, Dodoma ili akifanya uhuni wake wa kukata jina akina Kigunge Gombare, Imma, Sofia na team yake wasifanye fujo.
 
Akili zako NDOGO
 
master kila ukifika mwaka wa ballot box huwa analose control + saizi umri umetembea amekua very impulsive
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…