Hivi anayetaka reform ili wapatikane viongozi wanaojali na kulinda rasilimali za nchi ndani ya CCM ni wajinga? CCM mwerevu ni yule anayetetea wizi wa rasilimali sio?
Draft/Karata zinachezwa gizani, Nchi inachelewa kuamka Kwa sababu mapambano yanayoendelea gizani, watu hawajui kinachotokea—wanaambiwa "serikali inajipanga" kumbe ni vita vya mafahali......
I knw kwanza sio rahisi ,wa nn kwanza😅
Neno la Mungu linatosha
Amosi 3:7, Yeremia 33:3, Ayubu 33:14-27 sie zinatutosha kabisa kupata taarifa maana Mungu alituahidi ndo maana kuona manabii huku kwetu wengi ni sahihi tu
I knw kwanza sio rahisi ,wa nn kwanza😅
Neno la Mungu linatosha
Amosi 3:7, Yeremia 33:3, Ayubu 33:14-27 sie zinatutosha kabisa kupata taarifa maana Mungu alituahidi ndo maana kuona manabii huku kwetu wengi ni sahihi tu