Dark days 17/03/20

Sasa yoga!

Tambua uhai wa kijana msema sana ndio uhai wa uchaguzi mkuu na uhai wa kijani kuendelea kuongoza!!

Sasa kama waki implement hiyo plan watahatarisha usalama was uchaguzi,chama tawala na mtia Nia tulie nae!!

Uhai wa upinzani ndio uhai wa uchaguzi na uhai wa mtia nia wetu!!

Waambie wasi mess up na uhai wa kijana msema sana na co!!

Hiyo destruction itakua vice versa!!

Nawaza,nafikiri,nachambua maandiko yaliyomo humu!!
 
Sema mbona kama anatengenezewa ajali ya kisiasa huku(matukio ya hivi karibuni) na yeye anaingia kinyume nyume, badae itakua rahisi kumuweka pembeni. RESILIENT KATO Emanueli misalaba
Mimi nahisi, huenda na yeye mwenyewe anahusika kuichafua Kijani fc makusudi,

ili ionekane kwenye jamii haifai, kisha Yule kaka yake na Februari aende Purple kugombea urais yeye na Mr Smile wamwingize kwa mlango huo.
Ni hisia zangu.
 
Story nyingi za Yoga ni sound tu
 
Zanzibar inaitawala Tanganyika sasa havi kila kitu ni zanzibar vikao vya taasisi, mechi za mpira kodi ya Watanganyika inatumika zanzibar taasisi nyingi uzanzibar umetawala
Cha kushangaza waliokuwa wanaipigia kelele chatoo ambayo ni sehemu ya Tanganyika wapo kimyaaaa
 
Sema mbona kama anatengenezewa ajali ya kisiasa huku(matukio ya hivi karibuni) na yeye anaingia kinyume nyume, badae itakua rahisi kumuweka pembeni. RESILIENT KATO Emanueli misalaba
Kuna baadhi ya mambo yanatokea nadhani mengine hayana baraka zake kabisa!niliwahi soma Mahalia kuhusu marehem Mzee kibao kwamba maelekezo yalikua wamhoji TU wasi messup na uhai wake !lakini wahuni wakaharibu nadhani hata yeye Kuna baadhi anaumia kuona yanafanyika kinyume!!

Hasta hayati jpm alihoji kuhusu utekwaji wa Mo dewji,inaonekana usipofuata maelekezo ya wale jamaa lazima utatengenezewa makosa Ili wapate uhalali wa mission Yao wanayoitaka!!

MI NAAMINI HAKUNA NAMBA MOJA ANAETEKA WANANCHI KARIBU NA WAKATI WA UCHAGUZI IKIWA ANATAKA KURA TOKA KWA WANANCHI HAO HAO!!

NAWAZA NA KUWAZUA!
 
kweli mzee ila kile kiti kweli kina mengi aisee
 
Mimi mwenyewe naipenda CCM lakini ni mda sasa tufanya reform tupate viongozi wenye akili wenye machungu na rasilimali za nchi hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…