Dark days 17/03/20

Noma sn na inasikitisha.
Ila sijabahatika kumsoma tumia akili ,naomba uwe unani tag kaka
 
Achana na chawa huyo anajua kabisa ugali wake upo hatarini!

Mi sijibu comment za chawa maana Hawana akili
 
Jomba hatujuani ila nikuhakikishie tu kuwa ninajua mambo mazito kuhusu nchi yetu kuliko unavyodhani. Huu uzi umejaa stori nyingi sana za vijiweni.
Unajua mambo mazito yapi ndugu?,mabadiliko hayakwepeki kwa nyakati hizi mmeshindwa kuleta maendeleo kwa raia pamoja na rasilimali za kutosha.
Tunataka viongozi ambayo watatuletea maendeleo na siyo kujinufaisha wenyewe(wabinafsi).Tuweni serious now tuna wasomi wengi tuwape nafasi ya kuitumikia nchi yao na sio kujisifu kujua mambo mengi afu kuutokomeza umasikini mmeshindwa.
 
Ukiangalia mambo yanavyoenda hii nnre itatoboa kweli..??
Everything thing is fine, achana na mengine mengine mengii,

As I speak there is a suggestion for a sit down!! It's sad that kijana msema sana doesn't want any sit down!!πŸ˜‚

Step two: destruction, soon those kijana msema sana political rallies they enjoy doing, will be no more since the chair, vice chair, and few others will be locked!! Til the game of chance is over!
 
Power, power, power, power,. Power is money or money is power?This so called company, does it even recognise the presence and rights of the customers? Or , so long as their wishes are fulfilled, the rest is by the way.
 
kweli ukijua hili wenzio wanajua lile 🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…