Dr.adams faida
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 1,829
- 3,159
Ndo maana watu huwa wanalogwa
Diamond alichomzidi KIBA ni kuzaa na mwanamke umri wa mamake mkubwa tu na siyo kuimba...sorryDarassa mkali ila kwa diamond maji marefu bado anasafari ndefu kumfikia muulizeni kiba pamoja na ukongwe lakini kwa mondi kagwaya msapotini kwa matendo sio maneno
Kimaisha je acha kujitoa ufahamu mkuuDiamond alichomzidi KIBA ni kuzaa na mwanamke umri wa mamake mkubwa tu na siyo kuimba...sorry
Tatizo sio kuimba bali ni faida unayoipata kutokana na kuimbaDiamond alichomzidi KIBA ni kuzaa na mwanamke umri wa mamake mkubwa tu na siyo kuimba...sorry
Nimesikia safari hii atakupa mimba wewe unayefafana nae umri,maana ile ya kumzalisha aliyemzidi umri inakuuma sana.Diamond alichomzidi KIBA ni kuzaa na mwanamke umri wa mamake mkubwa tu na siyo kuimba...sorry
Wakati wewe target yako ni show za Manzese, Buguruni, uwanja wa fisi. Mwezio show zake ni za Dc washington, tokyo, beijing na kwingine kwa juu. Japo Video yake in-trend vizuri kiasi Youtube lakini Darasa kwa personality bado sana kwa Mond.Darassa mkali ila kwa diamond maji marefu bado anasafari ndefu kumfikia muulizeni kiba pamoja na ukongwe lakini kwa mondi kagwaya msapotini kwa matendo sio maneno
Hana lake tenaPoor kiba, hivi ndio mnaanza kumsahau kimyakimya?
Yaa tucheze muziki maana hakuna namna tena ya kutoa stressAcha maneno weka MUZIKI