Darassa anajua sana kufanya interview na yuko focused

Hap
Nafaka upo vizuri katika uhandishi wa habari. Ebu tumia kipaji chako iki.

Pili, Darasa ni mmoja ya best musician waliowahi kutokea Tanzania. Alipotea ila naona anaanza kurudi. Yote 9 kumi jamaa akubali kwamba alitumia Poda.
Hapana mkuu nimeona hiyo interview hakuna sehemu darasa amekubali aliwahi kutumia unga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom