Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,027
Jana nilibahatika kusikiliza interview ya Darassa aliyofanyiwa na Salama Jabir. Kwanza nikiri Salama ni bingwa wa kufanya interview maana interview zake utasikia vitu ambavyo hukuwahi kusikia wakati mhusika alipokuwa akifanyiwa interview na watu wengine.
Katika hiyo interview alimuuliza maswali Darassa ambayo yaliwezesha watazamaji kujua hustles zake na historia yake, pia alliweza kuclear allegations zilizoibuka kipindi alipoacha kufanya show wala kutokea kwenye social media na vyombo vya habari na watu wakasema amekuwa teja anabwia unga.
Jamaa anadai alikuwa anatengeneza pesa mabyo hakuwa anaipata waliikuwa wanakula wengine yeye anaambulia kidogo. Akaona kwanini aendelee kufanya kitu ambacho hakifurahii wala hakimfaidisha maana hawezi kuwa kwenye peak daima ipo siku atashuka na anaweza kuwa vile vile wakati kapiga show nyingi.
Akaamua kwanza a quit mziki na kupiga show kwa muda ajifunze jinsi ya kumanage biashara ya mziki ndipo arudi kufanya mziki. Pia akasema kipindi hicho mpenzi wake wa miaka 9 alikuwa mjamzito hivyo alichukua muda huo kulea mimba hadi mtoto anazaliwa na malezi ya mwanae.
Kaongelea hustles zake kuwa yeye katika hustles zake alikuwa anakutana na wasanii waliokuwa wana hit that time lakini hakuwahi kuomba msaada wa kuelekwa studio au chochote yeye tu alikuwa anaenda maskani yao wasikiliza tu zile story zao zilikuwa zinamuinspire ila ye hakuwa mtu wa kuzungumza wala kuomba asaidiwe yeye alikuwa anafuata motivation alipokuwa akisikia wanapiga story zao.
Akasema mfano Mwana F.A ndo msanii wa kwanza kuwa na namba yake alikuwa anamtafuta wanakutana wanazungumza na Mwana F.A alitegemea labda jamaa atamuomba support yoyote ila walipokuwa wakimaliza anamuaga anaondoka na hakuwa muomba wala msaada wa kupelekwa studio.
Jamaa kaongea mengi ya kujifunza likiwemo watu wanaosaidiwa kujua nafasi yao, mfano kasema yeye kalelewa na dada yake ambaye tayari ni marehemu, Anasema kitendo cha mtu kukukaribisha kwake wakati ana familia yake halafu akanunua nguo mpya ya mwanae ya zamani akakua wewe hiyo kwake ni bonge la love maana kajinyima hawez afford wapa nyote nguo mpya ila watu uwa wanasahau nafasi waliopewa wanaanza kulalamika.
Kamowngelea pia baba yake kuwa hakuwa naye wakati anakua ila hamlaumu ana mrespect ila siyo mshikaji wake yani hana ushikaji na mzee wake wa hivyo na hilo ndilo linamfanya asitake tengana na huyo dada aliyezaa naye kwasababu ya family aliyoyapitia amegundua kuwa family ikivunjka watoto wanateseka.
Jamaa anajua kujieleza na yuko focused kuliko nilivyo waza japo kakiri hakumaliza shule na wala halaumu mtu kwa hilo maana yalikuwa nje ya uwezo wa waliokuwa wanamsmesha
Katika hiyo interview alimuuliza maswali Darassa ambayo yaliwezesha watazamaji kujua hustles zake na historia yake, pia alliweza kuclear allegations zilizoibuka kipindi alipoacha kufanya show wala kutokea kwenye social media na vyombo vya habari na watu wakasema amekuwa teja anabwia unga.
Jamaa anadai alikuwa anatengeneza pesa mabyo hakuwa anaipata waliikuwa wanakula wengine yeye anaambulia kidogo. Akaona kwanini aendelee kufanya kitu ambacho hakifurahii wala hakimfaidisha maana hawezi kuwa kwenye peak daima ipo siku atashuka na anaweza kuwa vile vile wakati kapiga show nyingi.
Akaamua kwanza a quit mziki na kupiga show kwa muda ajifunze jinsi ya kumanage biashara ya mziki ndipo arudi kufanya mziki. Pia akasema kipindi hicho mpenzi wake wa miaka 9 alikuwa mjamzito hivyo alichukua muda huo kulea mimba hadi mtoto anazaliwa na malezi ya mwanae.
Kaongelea hustles zake kuwa yeye katika hustles zake alikuwa anakutana na wasanii waliokuwa wana hit that time lakini hakuwahi kuomba msaada wa kuelekwa studio au chochote yeye tu alikuwa anaenda maskani yao wasikiliza tu zile story zao zilikuwa zinamuinspire ila ye hakuwa mtu wa kuzungumza wala kuomba asaidiwe yeye alikuwa anafuata motivation alipokuwa akisikia wanapiga story zao.
Akasema mfano Mwana F.A ndo msanii wa kwanza kuwa na namba yake alikuwa anamtafuta wanakutana wanazungumza na Mwana F.A alitegemea labda jamaa atamuomba support yoyote ila walipokuwa wakimaliza anamuaga anaondoka na hakuwa muomba wala msaada wa kupelekwa studio.
Jamaa kaongea mengi ya kujifunza likiwemo watu wanaosaidiwa kujua nafasi yao, mfano kasema yeye kalelewa na dada yake ambaye tayari ni marehemu, Anasema kitendo cha mtu kukukaribisha kwake wakati ana familia yake halafu akanunua nguo mpya ya mwanae ya zamani akakua wewe hiyo kwake ni bonge la love maana kajinyima hawez afford wapa nyote nguo mpya ila watu uwa wanasahau nafasi waliopewa wanaanza kulalamika.
Kamowngelea pia baba yake kuwa hakuwa naye wakati anakua ila hamlaumu ana mrespect ila siyo mshikaji wake yani hana ushikaji na mzee wake wa hivyo na hilo ndilo linamfanya asitake tengana na huyo dada aliyezaa naye kwasababu ya family aliyoyapitia amegundua kuwa family ikivunjka watoto wanateseka.
Jamaa anajua kujieleza na yuko focused kuliko nilivyo waza japo kakiri hakumaliza shule na wala halaumu mtu kwa hilo maana yalikuwa nje ya uwezo wa waliokuwa wanamsmesha