usiniguse
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 1,724
- 1,188
Kufuatia matokea yaliyotangazwa na serikali na kujisifu kuwa ufaulu umeongezeka mwaka huu,ukweli ni Kwamba zoezi la kuchagua wanafunzi wa kujiunga na kidato cha kwanza mwakani 2014 limesimama kwa baadhi ya mikoa ili kusubiri tamko la serikali kushusha alama za ufaulu.
kwa mkoa wa lindi maafisa Elimu wamerudi vituoni kusubiri ruhusa ya serikali ya kushusha alama za ufaulu kwani baadhi ya shule zimekosa wanafunzi kabisa
Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums
kwa mkoa wa lindi maafisa Elimu wamerudi vituoni kusubiri ruhusa ya serikali ya kushusha alama za ufaulu kwani baadhi ya shule zimekosa wanafunzi kabisa
Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums