RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,835
Wala huumizi kichwa kupendeza, kwahio uwe umeoa hujaoa kama mtu wa kupendeza utapendeza tu.tafuta kama utakuta wanapanga kijani wanavaa imradi wamependeza na hawaumizi kichwa kwenye kuvaa
Wala huumizi kichwa kupendeza, kwahio uwe umeoa hujaoa kama mtu wa kupendeza utapendeza tu.tafuta kama utakuta wanapanga kijani wanavaa imradi wamependeza na hawaumizi kichwa kwenye kuvaa
Ukimkosoa jinsi anavyovaa...utapigwa ngumi burenamba tatu, imenikumbusha jamaa yangu maana huwa nikimuona tu sina mbav,mashat yake ni kama yale ya sugu ya zaman!
niliwah kumwambia, akawa mkal balaa, ila kila mtu anachokiamin kipo xwa ni kuacha tuUkimkosoa jinsi anavyovaa...utapigwa ngumi bure
Binafsi naamini kuvaa ni fani na kipaji pia.........
Kuna watu wanaijulia
Wengine kila siku kituko tu
Mkuu ni zuri na linakutoa bomba tatizo ukiwa nalo km la mwanafunzi ni shida ...Shati langu jeupe ngoja niligawe maana ntaonekana mwanafunzi.
Asante kwa kunitia moyo Mkuu, ila ni kweli kwenye sherehe kufananishwa na wapishi ni sahihi hahahaa.....Mkuu ni zuri na linakutoa bomba tatizo ukiwa nalo km la mwanafunzi ni shida ...
Mfano ukienda kwenye sherehe utafananishwa na wapishi au wagawa vinywaji
Tafuta ya fasheni ya kijanja mfano shati jeupe linacolar nyeusi,sehemu ya kukunyia mikono rangi nyeusi. Au sehemu ya vifungo kuna mistari ya pundamilia...utaeleweka !!!!
Hahahahaaaa.....Unaweza kuambiwa"oyaa we weita leta bia hapa mbona umekaa tu"
Hivi mkuu sut nzuri modo kama hiyo inaazia bei shilingi ngapi dukaniShukrani mkuu.....
Umejazia nyama
Kila MTU ana falsafa yake ya uvaaji! Usitake falsafa yako iwe ndo ya watu wote!Mimi kuna bank hizi za waalimu nilikutana na jamaa kavaa suti (three pieces)ina rangi ya njano ka maua ya alizeti,jamaa alikuwa comfortable kinoma,akiamini kaja kutushika,nilimshangaa na sitomsahau maishani kwa uvaaji mbovu kama ule.
Kama kuoa kunaondoa utanashati kwa mwanaume, ni bora kuwa bachela tu. Mimi nina mke na mtoto wa miaka 13, niko kwenye ndoa for 15yrs lakini napambika balaa, nikimtokea demu baada ya kugonga anauliza utanioa akifikiri mimi under 40, kumbe mie baba ake.mkishakua na mke ndani plus mtoto m1 hii thread kwako itakua zilipendwa.