Daraja maarufu Tanzania

Daraja maarufu Tanzania

Hapo kwenye bold umeniacha hoi mkuu. Itabidi niombe ridhaa kwa mshua anipatie hiki kitanda maana mpaka leo kipo nyumbani.
umenikumbusha hiki kitanda, tena sio wa mambo safi tu hata wale wa dar es salama hawajakilalia
 
Nitatuliaje wakati nimeahidiwa mbuzi aisee

Oooh yeah..........mbuzi is zea tu stei........ila hii hali ya hewa kwa moromboo hakufai.......nakupeleka mbuzi limao + dance........vipi hiyo......?
 
Ni kweli liko Mara hilo, nilipita huko last year. Ni zuri kwa kweli linavutia. ila kuhna mabasi yana kimbia sijapata ona aisee, na hakuna traffic wala nini.....

Nasikia huko bangi ni mboga.
 
Hapana, sijui kwa kweli. Nilienda kikazi si kwenda kuchunguza hilo. Hizi taarifa za Coup nchini Burundi ni za kweli? MANI BAK zumbemkuu lusungo Zamaulid na wengine. Niko mbali na media.

Yes ni kweli, walianza kuripoti al jazeera na sasa hivi BBC wameripoti.

Upo mbali na mawasiliano na unaweza ingia JF? hivi mpaka leo haijakuingia akilini kuwa internet ni mawasiliano?
 
Yes ni kweli, walianza kuripoti al jazeera na sasa hivi BBC wameripoti.

Upo mbali na mawasiliano na unaweza ingia JF? hivi mpaka leo haijakuingia akilini kuwa internet ni mawasiliano?

Hahahaa asante kwa confirmation ya taarifa hio. Nina access ndogo sana na mobile ndio inazimika hivyo. So nilitaka tu nipate toka kwa reliable source. Asante Faiza
 
Contractor alikuwa anajenga usiku tu,kampuni ya Italy inaitwa cojifa jamaa walikuwa vzr sana

Sasa si wangepewa kujenga pale jangwani mana hili nalifananisha na madaraja ya nje
 
Sasa si wangepewa kujenga pale jangwani mana hili nalifananisha na madaraja ya nje
Yaani umeninyanganya tonge mdomoni. Kama hili limewezekana huko, kwanini wasifanye na kwingine pia??? :A S 39:
 
Yes ni kweli, walianza kuripoti al jazeera na sasa hivi BBC wameripoti.

Upo mbali na mawasiliano na unaweza ingia JF? hivi mpaka leo haijakuingia akilini kuwa internet ni mawasiliano?

Kumbe siku nyingine unakuwaga na akili....
 
Back
Top Bottom