NI DARAJA LA KIRUMI MTO MARA - KUVUKA KWENDA Tarime na Rorya hadi Sirari mpakani MURA TATA WA CHING'OMBE . POT!!!! Tuko pamoja tuna serrrrrrrrrrrrrrrrrrrrreka haki ya mama tuuuuuuuuuuu tata
wenyeji wanakuja kubaini
Daraja la KIRUMI hilo chini unapita Mto Mara unaoanzia Masai Mara unakatiza Mbuga ya Serengeti mpaka ziwa victoria ni kama kilometre 20 hivi kutoka junction ya Mwanza - Musoma Road kuelekea TarimeLipo wapi
Inakwenda TarimeeeNilidhani San Fransisco..........
Mie mpita njia tu si unajua mie vasco da gama kama wewebado kutukaribisha tu hapo
Hapo kwenye bold umeniacha hoi mkuu. Itabidi niombe ridhaa kwa mshua anipatie hiki kitanda maana mpaka leo kipo nyumbani.Linaitwa daraja la kirumi, liko mto mara kama unatoka Musoma kwenda Tarime, au unatoka Mwanza kwenda Tarime lazima utapita kwenye daraja hili.
Nililipenda kwa style lilivyojengwa alafu kama uko pale gari kubwa likipita unahisi kama daraja linanesanesa kama unavyohisi kitu chenye spring kinanesa au kama kitanda cha chuma kama ulishakilalia( watoto wa kitanzania tu, wale mambo safi hawajawahi)
kwa kweli tembea yangu hata mm limenivutia sanatuache uongo hilo daraja ni very classic na linavutia sana. Pana mto unaokatisha ziwa kwenye hilo daraja. Si daraja tuu hata hiyo barabara ya lami huwez linganisha na barabara nyingine za lami kwa maana ina viwango tofauti kabisa