Linaitwa daraja la kirumi, liko mto mara kama unatoka Musoma kwenda Tarime, au unatoka Mwanza kwenda Tarime lazima utapita kwenye daraja hili.
Nililipenda kwa style lilivyojengwa alafu kama uko pale gari kubwa likipita unahisi kama daraja linanesanesa kama unavyohisi kitu chenye spring kinanesa au kama kitanda cha chuma kama ulishakilalia( watoto wa kitanzania tu, wale mambo safi hawajawahi)