Daraja maarufu Tanzania

Daraja maarufu Tanzania

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
11193401_637122139756204_5384311843076847443_n.jpg 11193401_637122139756204_5384311843076847443_n.jpg
 
Linaitwa daraja la kirumi, liko mto mara kama unatoka Musoma kwenda Tarime, au unatoka Mwanza kwenda Tarime lazima utapita kwenye daraja hili.

Nililipenda kwa style lilivyojengwa alafu kama uko pale gari kubwa likipita unahisi kama daraja linanesanesa kama unavyohisi kitu chenye spring kinanesa au kama kitanda cha chuma kama ulishakilalia( watoto wa kitanzania tu, wale mambo safi hawajawahi)
 
Ni kweli liko Mara hilo, nilipita huko last year. Ni zuri kwa kweli linavutia. ila kuhna mabasi yana kimbia sijapata ona aisee, na hakuna traffic wala nini.....
 
unawekaje kona hvo kwenye hilo daraja?? wajenzi hao kweli warumi
 
ukiwa unatokea tatime kuna mlima mkali kabla ya kufika hapo.
 
Back
Top Bottom