domokaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2010
- 3,588
- 1,760
Kujidai unajua wakati wewe ni domokaya ni uhayawani!!Kuhusu lilijengwa kipindi cha yeye akiwa waziri hiyo kauli haina mashiko, kama una kumbukumbu kuna kauli aliambiwa "wewe ulitakiwa uje uliposikia kuna sherehe ya ufunguzi kwa kuwa ni waziri mwenye dhamana, Kijazi yeye alikimbizwa ubalozi wa India, Jamaa nadhani alipelekwa wizara ya kuhesabu samaki,Jiongeze kijana stori za kwenye vijiwe vya gahawa achana nazo, raisi anaposema waachane na ujenzi wa madaraja na makalavati je kigamboni sio daraja? na kama ni daraja kauli ya raisi hailihusu? Kuhusu kuweka commitment ni uwongo wa mchana kweupe dau mwenyewe alisema wazo lilitoka kwa mkapa na kikwete akaendeleza mbona hakumtaja magufuli? kuhusu daraja kutoa ajira halina mashiko pia kwa kuwa daraja linatoa ajira za muda mfupi na hata ajira za kudumu sio nyingi kama ambavyo kiwanda kitatoa, na daraja wafaidika wake ni wachache ukilinganisha na kiwanda kinachodhalisha bidhaa ambazo watanzania wote watzitumiana kufaidika, Unadhani siku ufunguzi wa daraja la Kigamboni ulikuwa mwenyewe au hotuba yake ulisikiliza mwenyewe?Na kama ni kweli raisi Magufuli atakuja vipi ponda wazo lake mbele ya umma? Fikirisheni akili kidogo hilo daraja lina mambo mengi kuliko unavyojua na kujidai kuleta misemo hewa ambayo haina mantiki. Vijana wengi siku hizi tunajidai tunajua wakati tunashinda kwenye pool table na hatufuatilii mambo kwa kusoma na kusikiliza vyombo mbalimbali vya habari na hii ndio imekufanya ukaja na story za kwenye pool table hapa.Pumbavu kabisa wewe.
Hahahahahaha kwikwikwikwikwikwikwi, tehtehtehtehtehteh! Mama mbavu zangu! Umenichekesha kweli leo, nimekumbuka kauli moja aliyokuwa akiitumia mwalimu wangu fulani kuniambia kuwa kuna watu hawajui, halafu hawajui kama hawajui na kutokujua kwao wanajifanya wanajua na hata wanadiriki kuzungumzia mambo ambayo hawayajui. hahahahaha. Enhe wewe kumbe una fikiria? Wewe kumbe unafuatilia mambo? Wewe kumbe ulisikiliza hotuba ya rais, kwakwakwakwa yaani bado nacheka? Eeenhe wewe kumbe pia unasikiliza vyombo vya habari? Kwakwakwakwa, sijui vyombo vya habari gani hivyounavyosikiliza vilivyo up to date na kukufanya uwe na habari relevant kama ulizoziandika hapa. Wewe unaweza kuwa msaada mkubwa kwangu wa kuniwezesha niondokane na upumbavu. Naomba nikuulize swali, hivi kweli ulisikiliza hotuba ya rais ya ufunguzi wa lile daraja? Ulisikiliza kweli wewe? Ulikuwa haupo hospitali labda ukitibiwa masikio? Hebu sikiliza tena youtube halafu uje kunitoa nishai humu jf na uoneshe upumbavu wangu. We broo yaelekea wewe ni kichwa haswaa, wewe ni kichwa broo sema hujui tu