Daraja la Mabatini Mwanza linazinduliwa leo

Daraja la Mabatini Mwanza linazinduliwa leo

Marire

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2012
Posts
12,333
Reaction score
5,312
wasaalam wana jf.
Nimepita Mabatini naona kuna hekaheka za maandalizi ya kupamba uzinduzi wa ufunguzi wa daraja la juu.
sijajua ni kiongozi gani atazindua ila kiu yangu ni kutaka kujua kama mbunge wetu wenje naye kama atahudhuria kwasababu sijawahi kuona jitihada zozote alizofanya.
Nampongeza sana Mama Maria hewa kwa juhudi zake hata bungeni nilishudua mara mbili akiulizia hili daraja.
 
Hongera kwa daraja maana mabatini pale ilikuwa hatari sana kuvuka hususan kwa watoto. Tunaishukuru serikali kwa kuona umuhimu wa kuweka daraja hilo(flyover). Kuhusu Wenje kuhidhuria au kutokuhudhuria hiyo sio ishu,yeye asubiri 2015 tumpige chini,kwani hana lolote zaidi ya kwenda bungeni kutafuta sifa za kijinga. Wenje hajafanya lolote na miaka inakatika,kama chadema inalitaka jimbo la Nyamagana wasimamishe mgombea mwingine kwakuwa wenje ameprove failure
 
wasaalam wana jf.
Nimepita Mabatini naona kuna hekaheka za maandalizi ya kupamba uzinduzi wa ufunguzi wa daraja la juu.
sijajua ni kiongozi gani atazindua ila kiu yangu ni kutaka kujua kama mbunge wetu wenje naye kama atahudhuria kwasababu sijawahi kuona jitihada zozote alizofanya.
Nampongeza sana Mama Maria hewa kwa juhudi zake hata bungeni nilishudua mara mbili akiulizia hili daraja.

John Pombe Magufuli
 
Hongera kwa daraja maana mabatini pale ilikuwa hatari sana kuvuka hususan kwa watoto. Tunaishukuru serikali kwa kuona umuhimu wa kuweka daraja hilo(flyover). Kuhusu Wenje kuhidhuria au kutokuhudhuria hiyo sio ishu,yeye asubiri 2015 tumpige chini,kwani hana lolote zaidi ya kwenda bungeni kutafuta sifa za kijinga. Wenje hajafanya lolote na miaka inakatika,kama chadema inalitaka jimbo la Nyamagana wasimamishe mgombea mwingine kwakuwa wenje ameprove failure
Siku nyingi nimetoka Mwanza hilo daraja ndiyo lile la mto kenge?
 
Daraja lile ni kiungo muhimu sana kwa waenda kwa miguu walio wengi na wenye
magari wanaozidi kuongezeka,vilevile litapunguza muda wa kutoka na kuingia mjini.

Tungeiomba serikali kuongeza bajeti ili sura kama ile iweze kuonekana
maeneo yote yaliyo na tatizo kama ilivyokuwa mabatini.

Na mwisho kabisa ningeishauri serikali kupitia halmashauri ya jiji la mwanza
kutengeneza barabara itakayotoka mabatini-kleruu-nyambiti na kuungana na ile
barabara mpya ya lami (buzuruga-pasiansi road).
 
Siku nyingi nimetoka Mwanza hilo daraja ndiyo lile la mto kenge?

Ni lile karibu na zile mashine za unga!

Limejaa vinyesi vya wale wanaokaa pale mabatini milimani bila vibali!

Na mmoja wa wakazi hao ni mchungwaji Eiyer! Mzee wa chabo!

Teh teh teh teh.

Yaani kama namuona kule juu mlimani kavaa kanga ya mama watoto,
kakaa juu ya jiwe anakunywa kangara tartiiiibu.

Eee teh teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
huo mto Halimashauri ya jiji ilipewa hela na benki ya dunia enzi za Kandoro wapanue huo mto,sijui ziliishia wapi
 
wasaalam wana jf.
Nimepita Mabatini naona kuna hekaheka za maandalizi ya kupamba uzinduzi wa ufunguzi wa daraja la juu.
sijajua ni kiongozi gani atazindua ila kiu yangu ni kutaka kujua kama mbunge wetu wenje naye kama atahudhuria kwasababu sijawahi kuona jitihada zozote alizofanya.
Nampongeza sana Mama Maria hewa kwa juhudi zake hata bungeni nilishudua mara mbili akiulizia hili daraja.

Tumezoea kuona miundombinu ikiegemea upande mmoja, je, walemavu nao wamekumbukwa au ndo kulazimishana?
 
Tumezoea kuona miundombinu ikiegemea upande mmoja, je, walemavu nao wamekumbukwa au ndo kulazimishana?

mkuu kwa nilivyoona pale hilo daraja walemavu hajakumbukwa
 
SASA maandamano ya CHADEMA toka buzuruga kwenda furahisha yamepata nguvu,wenye magari tutakuwa na nafuu.
Na bado watapita hapo juu kila siku,ila mwisho wa siku watasema serikali haijafanya lolote huku wakiwa juu ya daraja
 
Siku nyingi nimetoka Mwanza hilo daraja ndiyo lile la mto kenge?

Daraja hili ni mithili ya lile la Manzese , au lile la Shinyanga Railway Station.
Ni la binadamu ku'cross from one side to another .
Liko karibu na unapokatiza Mto Mirongo .
Wenyeji wanapaita Fonia .
 
Ni lile karibu na zile mashine za unga!

Limejaa vinyesi vya wale wanaokaa pale mabatini milimani bila vibali!

Na mmoja wa wakazi hao ni mchungwaji Eiyer! Mzee wa chabo!

Teh teh teh teh.

Yaani kama namuona kule juu mlimani kavaa kanga ya mama watoto,
kakaa juu ya jiwe anakunywa kangara tartiiiibu.

Eee teh teh teh teh teh!

Hakuna raha kama kuny.a nje wewe!!!!
 
Ni lile karibu na zile mashine za unga!

Limejaa vinyesi vya wale wanaokaa pale mabatini milimani bila vibali!

Na mmoja wa wakazi hao ni mchungwaji Eiyer! Mzee wa chabo!

Teh teh teh teh.

Yaani kama namuona kule juu mlimani kavaa kanga ya mama watoto,
kakaa juu ya jiwe anakunywa kangara tartiiiibu.

Eee teh teh teh teh teh!
Dr. kahatan

Umenikumbusha mbali sana hayo maeneo nadhani palikuwa panaitwa kwa Manengero, teh teh teh.
 
Last edited by a moderator:
Dr. kahatan

Umenikumbusha mbali sana hayo maeneo nadhani palikuwa panaitwa kwa Manengero, teh teh teh.

Teh teh teh
Shariff wangu naona unanipeleka mbali mno hapa!
Hilo jina nalikumbuka sana lkn utu uzima tena network zinapotea kidogo!

Lkn pale mabatini nakumbuka ile harufu ya mapumba! Na jamaa wa pale wachafu sana! Wamejenga juu ya mawe kama wale nyani wa Indonesia! Na wengi wao ni wajaluo na wakerewe!

Teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh
Shariff wangu naona unanipeleka mbali mno hapa!
Hilo jina nalikumbuka sana lkn utu uzima tena network zinapotea kidogo!

Lkn pale mabatini nakumbuka ile harufu ya mapumba! Na jamaa wa pale wachafu sana! Wamejenga juu ya mawe kama wale nyani wa Indonesia! Na wengi wao ni wajaluo na wakerewe!

Teh teh teh teh!
Ustaadhi mliishi mwaka gani MZ.? hebu ikumbusheni ni barabara ya musoma? karibu na polisline?
 
Ustaadhi mliishi mwaka gani MZ.? hebu ikumbusheni ni barabara ya musoma? karibu na polisline?
Ile barabara ilikuwa na vumbi sijapata kuona, zamani tulikuwa natoka Mwanza kwenda Nairobi barabara ilikuwa mbovu sana lami unaipatia Magu, teh teh teh.

Vipi pale mlango moja bado wanauza mapuya na gongo na mataputapu.

Cc; kahtaan
 
Last edited by a moderator:
Ile barabara ilikuwa na vumbi sijapata kuona, zamani tulikuwa natoka Mwanza kwenda Nairobi barabara ilikuwa mbovu sana lami unaipatia Magu, teh teh teh.

Vipi pale mlango moja bado wanauza mapuya na gongo na mataputapu.

Cc; kahtaan
Sii uwekezaji huo !! ninamda mrefu huko!!
 
Back
Top Bottom