Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,152
- 10,681
if i remember well, pale waliweka limitSio madereva tu, tatizo wajenzi hawaweki mipaka ya UZITO wa magari yanayotakiwa kupita ktk madaraja au barabara zinapokamilika!
na pia temporary darajas zina limits tu... lile lorry ni kubwa sana na zito hata kwa barabara ya kawaida