Daraja la Kinyerezi labomoka

Daraja la Kinyerezi labomoka

Hii nchi kila mtu anajifanyia atakachoamua mwenyewe,..

Sasa hii hasara sijui nani atailipa kama siyo mlipa kodi kutokana na uzwmbe na maslahi ya wachache.

Na huyo dereva kapita chuo gani cha Udereva? NIT wanatoa product za aina hii kweli?
 
Inasemekana ktk kukwepa kwamba lori halina mzigo walikua wamewafungia vibarua 6 ndani ya Tela. 2 kati yao wamefia eneo la tukio. Sheria ya udhibiti wa uzito ktk barabara zetu za mijini ni hafifu sana. Malori makubwa yanaruhusiwa kupita ktk barabara ambazo hawaruhusiwi kupita. Uzito wa magari ya cement,mchanga na bidhaa nyingine lazima yadhibitiwe vikali kwa faini na adhabu ya kifungo.
Udhibiti wa malori ya mizigo unafanywa kisiasa sana, MWENYE LORI ALIPE DARAJA maana ana BIMA
 
Kuna lori lililokuwa limebeba kontena limejaribu kupita daraja linalounganisha UKONGA {BANANA)- SEGEREA- KINYEREZI NA MBEZI limeharibika kabisa kwa kutumbukia na lori , kwa sasa foleni ni kubwa magari yote yanarudi, kwa wanaotoka mjini ni vyema kutumia njia ya VINGUNGUTI kwenda KINYEREZI, SEGEREA NA MBEZI,
Daraja limearibika sana.

attachment.php


NI VYEMA SHERIA IKACHUKUA MKONDO WAKE, haiingi akili mjinga mmoja kukata mawasilino wa watu wote kwenye njia muhimu kama hii.

Mfumo wa kudhibiti malori ya mizigo ni dhaifu sana nchini, madereva wangepewa route za kupita pale wanapotoa mizigo bandari na wanapoingiza mizigo hapa mjini kutoka mikoani,

Bila shaka jamaa wametumia mwanya wa polisi/trafic kutofanya kazi usiku kufanya huu utumbo, hivi kwa nini usiku kwa mji mkubwa kama Dar jeshi la polisi linalala mapema HIVYO?

pooleni
 
Watu wanaotokea tabata kuja majumba na banana inabidi wachepuke mpaka pale kwenye uchumi supermarket atafute Barabara ya stakishari

Gari yenyewe
 

Attachments

  • 1403199775666.jpg
    1403199775666.jpg
    70.5 KB · Views: 287
Haya sasa PM Mizengo Kayanza Peter Pinda ajitokeze auambie umma wa walipakodi haya ndiyo aliyokuwa anayataka? Je ananufaika nini raia wake wanapopatwa na adha ya kushindwa kuvuka? Je anaona kuna haja ya kuendelea kubishana na wanasayansi wanapomwambia ukweli na uhalisia wa mambo? Au ataelekeza lawama kwa wale aliosema wasulubiwe?
 
Kuna lori lililokuwa limebeba kontena limejaribu kupita daraja linalounganisha UKONGA {BANANA)- SEGEREA- KINYEREZI NA MBEZI limeharibika kabisa kwa kutumbukia na lori , kwa sasa foleni ni kubwa magari yote yanarudi, kwa wanaotoka mjini ni vyema kutumia njia ya VINGUNGUTI kwenda KINYEREZI, SEGEREA NA MBEZI,
Daraja limearibika sana.

attachment.php


NI VYEMA SHERIA IKACHUKUA MKONDO WAKE, haiingi akili mjinga mmoja kukata mawasilino wa watu wote kwenye njia muhimu kama hii.

Mfumo wa kudhibiti malori ya mizigo ni dhaifu sana nchini, madereva wangepewa route za kupita pale wanapotoa mizigo bandari na wanapoingiza mizigo hapa mjini kutoka mikoani,

attachment.php


Bila shaka jamaa wametumia mwanya wa polisi/trafic kutofanya kazi usiku kufanya huu utumbo, hivi kwa nini usiku kwa mji mkubwa kama Dar jeshi la polisi linalala mapema HIVYO?

Dr Magufuli akikomaa nao wanasiasa wanamwona kituko,sasa karibia watu laki 6 wanakosa huduma kwa ajili ya tajiri mmoja aliyetaka kulazimisha kontena lake lipite huku likiwa na uzito mkubwa.

Nini kifanyike kwa sasa,tumwache Dr Magufuli afanye kazi yake,tuheshimu sheria ,taratibu na kanuni ndani ta tanroad,hii itasaidia kuzipa uhai barabara zetu na matumizi yake yatakuwa ni kwa faida ya wengi.
 
Hii nchi kila mtu anajifanyia atakachoamua mwenyewe,..

Sasa hii hasara sijui nani atailipa kama siyo mlipa kodi kutokana na uzwmbe na maslahi ya wachache.

Na huyo dereva kapita chuo gani cha Udereva? NIT wanatoa product za aina hii kweli?

Hahahahahahaa,mkuu hii hasara ni yetu sote,huyo tajiri hata lipa,tujiandae tu kulitengeneza hilo daraja kwa kodi zetu,kwani tayari ruhusa ilisha tolewa kwa magari yenye uzito mkubwa kupita popote yatakayo.
 
Haya sasa PM Mizengo Kayanza Peter Pinda ajitokeze auambie umma wa walipakodi haya ndiyo aliyokuwa anayataka? Je ananufaika nini raia wake wanapopatwa na adha ya kushindwa kuvuka? Je anaona kuna haja ya kuendelea kubishana na wanasayansi wanapomwambia ukweli na uhalisia wa mambo? Au ataelekeza lawama kwa wale aliosema wasulubiwe?

PM haku calculate RISK ya kauli yake, suala la malori angelihacha kwa waziri husika, amemwathiri waziri kwa kiasi furani kuhusu haya malori, matokeo yake malori yamekosa udhibiti yanapita kila njia bila kujari uzito wa madaraja
 
Dr Magufuli akikomaa nao wanasiasa wanamwona kituko,sasa karibia watu laki 6 wanakosa huduma kwa ajili ya tajiri mmoja aliyetaka kulazimisha kontena lake lipite huku likiwa na uzito mkubwa.

Nini kifanyike kwa sasa,tumwache Dr Magufuli afanye kazi yake,tuheshimu sheria ,taratibu na kanuni ndani ta tanroad,hii itasaidia kuzipa uhai barabara zetu na matumizi yake yatakuwa ni kwa faida ya wengi.


Baba yangu angekuwa ni mtu wa kushinda shambani ningeachia ngazi mara moja
 
naona inabidi wanipe tenda nikawafungie system ambayo itafanya hadi polisi waogope kuruhusu hawa jamaa kuvuka... mtu akiruhusu tu anakabwa fasta...
 
Magufuli akikomaa na sheria wengine wanamkatisha tamaa kwa kula bata na wenye nchi
 
dereva kama aliona vbao vinavyoenyesha uzito unaoruhusiwa akapita kibange bange ajenge hlo daraja,kama akukuwa na alama yoyote wamlpe yeye
 
Hii nchi kila mtu anajifanyia atakachoamua mwenyewe,..

Sasa hii hasara sijui nani atailipa kama siyo mlipa kodi kutokana na uzwmbe na maslahi ya wachache.

Na huyo dereva kapita chuo gani cha Udereva? NIT wanatoa product za aina hii kweli?
hapo hiyo ni hasar ya mwenye hiyo kampuni ya gari mkuu na lazima ailipe serikali.
 
Kuna lori lililokuwa limebeba kontena limejaribu kupita daraja linalounganisha UKONGA {BANANA)- SEGEREA- KINYEREZI NA MBEZI limeharibika kabisa kwa kutumbukia na lori , kwa sasa foleni ni kubwa magari yote yanarudi, kwa wanaotoka mjini ni vyema kutumia njia ya VINGUNGUTI kwenda KINYEREZI, SEGEREA NA MBEZI,
Daraja limearibika sana.

attachment.php


NI VYEMA SHERIA IKACHUKUA MKONDO WAKE, haiingi akili mjinga mmoja kukata mawasilino wa watu wote kwenye njia muhimu kama hii.

Mfumo wa kudhibiti malori ya mizigo ni dhaifu sana nchini, madereva wangepewa route za kupita pale wanapotoa mizigo bandari na wanapoingiza mizigo hapa mjini kutoka mikoani,

attachment.php


Bila shaka jamaa wametumia mwanya wa polisi/trafic kutofanya kazi usiku kufanya huu utumbo, hivi kwa nini usiku kwa mji mkubwa kama Dar jeshi la polisi linalala mapema HIVYO?
Mkuu polisi hiwezi kuwa kila mahali hata pale walipo watu wajinga kama huyu dereva.
Cha maana hapo ni kutaifisha hilo gari na mwenye gari alipe fidia matengenezo ya daraja hilo.

Kuna ujinga mkubwa kwa madereva jijini Dar, madrreva huwa hawatumii akili kabisa, na hapo polisi lazima wavuliwe lawama.
Hapa mwenye gari afidie daraja na gari litaifishwe, dereva afungwe- ndio jawabu.
 
Dereva atakuwa na akili ya pig. Utapitaje daraja lile na mzigo.mkubwa? ila pia sijajua kama mamlaka husika ziliweka kibao pale kutahadharisha kuhusu magari ya tani kubwa.
 
Faida ya kuingiza siasa kwenye mambo ya kitaalamu. Mizengwe Punda lazima awajibike.
 
Back
Top Bottom