Udhibiti wa malori ya mizigo unafanywa kisiasa sana, MWENYE LORI ALIPE DARAJA maana ana BIMAInasemekana ktk kukwepa kwamba lori halina mzigo walikua wamewafungia vibarua 6 ndani ya Tela. 2 kati yao wamefia eneo la tukio. Sheria ya udhibiti wa uzito ktk barabara zetu za mijini ni hafifu sana. Malori makubwa yanaruhusiwa kupita ktk barabara ambazo hawaruhusiwi kupita. Uzito wa magari ya cement,mchanga na bidhaa nyingine lazima yadhibitiwe vikali kwa faini na adhabu ya kifungo.
Kuna lori lililokuwa limebeba kontena limejaribu kupita daraja linalounganisha UKONGA {BANANA)- SEGEREA- KINYEREZI NA MBEZI limeharibika kabisa kwa kutumbukia na lori , kwa sasa foleni ni kubwa magari yote yanarudi, kwa wanaotoka mjini ni vyema kutumia njia ya VINGUNGUTI kwenda KINYEREZI, SEGEREA NA MBEZI,
Daraja limearibika sana.
![]()
NI VYEMA SHERIA IKACHUKUA MKONDO WAKE, haiingi akili mjinga mmoja kukata mawasilino wa watu wote kwenye njia muhimu kama hii.
Mfumo wa kudhibiti malori ya mizigo ni dhaifu sana nchini, madereva wangepewa route za kupita pale wanapotoa mizigo bandari na wanapoingiza mizigo hapa mjini kutoka mikoani,
Bila shaka jamaa wametumia mwanya wa polisi/trafic kutofanya kazi usiku kufanya huu utumbo, hivi kwa nini usiku kwa mji mkubwa kama Dar jeshi la polisi linalala mapema HIVYO?
Watu wanaotokea tabata kuja majumba na banana inabidi wachepuke mpaka pale kwenye uchumi supermarket atafute Barabara ya stakishari
Kuna lori lililokuwa limebeba kontena limejaribu kupita daraja linalounganisha UKONGA {BANANA)- SEGEREA- KINYEREZI NA MBEZI limeharibika kabisa kwa kutumbukia na lori , kwa sasa foleni ni kubwa magari yote yanarudi, kwa wanaotoka mjini ni vyema kutumia njia ya VINGUNGUTI kwenda KINYEREZI, SEGEREA NA MBEZI,
Daraja limearibika sana.
![]()
NI VYEMA SHERIA IKACHUKUA MKONDO WAKE, haiingi akili mjinga mmoja kukata mawasilino wa watu wote kwenye njia muhimu kama hii.
Mfumo wa kudhibiti malori ya mizigo ni dhaifu sana nchini, madereva wangepewa route za kupita pale wanapotoa mizigo bandari na wanapoingiza mizigo hapa mjini kutoka mikoani,
![]()
Bila shaka jamaa wametumia mwanya wa polisi/trafic kutofanya kazi usiku kufanya huu utumbo, hivi kwa nini usiku kwa mji mkubwa kama Dar jeshi la polisi linalala mapema HIVYO?
Udhibiti wa malori ya mizigo unafanywa kisiasa sana, MWENYE LORI ALIPE DARAJA maana ana BIMA
Hii nchi kila mtu anajifanyia atakachoamua mwenyewe,..
Sasa hii hasara sijui nani atailipa kama siyo mlipa kodi kutokana na uzwmbe na maslahi ya wachache.
Na huyo dereva kapita chuo gani cha Udereva? NIT wanatoa product za aina hii kweli?
Gari yenyewe
Haya sasa PM Mizengo Kayanza Peter Pinda ajitokeze auambie umma wa walipakodi haya ndiyo aliyokuwa anayataka? Je ananufaika nini raia wake wanapopatwa na adha ya kushindwa kuvuka? Je anaona kuna haja ya kuendelea kubishana na wanasayansi wanapomwambia ukweli na uhalisia wa mambo? Au ataelekeza lawama kwa wale aliosema wasulubiwe?
Dr Magufuli akikomaa nao wanasiasa wanamwona kituko,sasa karibia watu laki 6 wanakosa huduma kwa ajili ya tajiri mmoja aliyetaka kulazimisha kontena lake lipite huku likiwa na uzito mkubwa.
Nini kifanyike kwa sasa,tumwache Dr Magufuli afanye kazi yake,tuheshimu sheria ,taratibu na kanuni ndani ta tanroad,hii itasaidia kuzipa uhai barabara zetu na matumizi yake yatakuwa ni kwa faida ya wengi.
Baba yangu angekuwa ni mtu wa kushinda shambani ningeachia ngazi mara moja
hapo hiyo ni hasar ya mwenye hiyo kampuni ya gari mkuu na lazima ailipe serikali.Hii nchi kila mtu anajifanyia atakachoamua mwenyewe,..
Sasa hii hasara sijui nani atailipa kama siyo mlipa kodi kutokana na uzwmbe na maslahi ya wachache.
Na huyo dereva kapita chuo gani cha Udereva? NIT wanatoa product za aina hii kweli?
Mkuu polisi hiwezi kuwa kila mahali hata pale walipo watu wajinga kama huyu dereva.Kuna lori lililokuwa limebeba kontena limejaribu kupita daraja linalounganisha UKONGA {BANANA)- SEGEREA- KINYEREZI NA MBEZI limeharibika kabisa kwa kutumbukia na lori , kwa sasa foleni ni kubwa magari yote yanarudi, kwa wanaotoka mjini ni vyema kutumia njia ya VINGUNGUTI kwenda KINYEREZI, SEGEREA NA MBEZI,
Daraja limearibika sana.
![]()
NI VYEMA SHERIA IKACHUKUA MKONDO WAKE, haiingi akili mjinga mmoja kukata mawasilino wa watu wote kwenye njia muhimu kama hii.
Mfumo wa kudhibiti malori ya mizigo ni dhaifu sana nchini, madereva wangepewa route za kupita pale wanapotoa mizigo bandari na wanapoingiza mizigo hapa mjini kutoka mikoani,
![]()
Bila shaka jamaa wametumia mwanya wa polisi/trafic kutofanya kazi usiku kufanya huu utumbo, hivi kwa nini usiku kwa mji mkubwa kama Dar jeshi la polisi linalala mapema HIVYO?