Daraja la Kinyerezi labomoka

VIKWAZO

JF-Expert Member
Apr 9, 2011
1,899
580
Kuna lori lililokuwa limebeba kontena limejaribu kupita daraja linalounganisha UKONGA {BANANA)- SEGEREA- KINYEREZI NA MBEZI limeharibika kabisa kwa kutumbukia na lori , kwa sasa foleni ni kubwa magari yote yanarudi, kwa wanaotoka mjini ni vyema kutumia njia ya VINGUNGUTI kwenda KINYEREZI, SEGEREA NA MBEZI,
Daraja limearibika sana.

attachment.php


NI VYEMA SHERIA IKACHUKUA MKONDO WAKE, haiingi akili mjinga mmoja kukata mawasilino wa watu wote kwenye njia muhimu kama hii.

Mfumo wa kudhibiti malori ya mizigo ni dhaifu sana nchini, madereva wangepewa route za kupita pale wanapotoa mizigo bandari na wanapoingiza mizigo hapa mjini kutoka mikoani,

attachment.php


Bila shaka jamaa wametumia mwanya wa polisi/trafic kutofanya kazi usiku kufanya huu utumbo, hivi kwa nini usiku kwa mji mkubwa kama Dar jeshi la polisi linalala mapema HIVYO?

UPDATE

Monday 09/03/2015
Limevunjwa tena na lori lilizidi uzito
Nakumbuka mwaka jana ili daraja lilivunjwa na lori kwa misingi ya kuzidi uzito, likarekebishwa na kuanza kufanya kazi, lakini juzi mjinga mwingine kapita tena na gari linalozidi tani 7 na kulivunja tena
Hii ni njia muhimu kwa wakati wa mbezi,segerea, Tabata , kinyerezi etc lakini hii hali imehachwa ikijirudia rudia na kubabisha usumbufu kwa raia.
Ni vyema kukawa na approach mpya zidi ya wamiliki na madereva wa malori makubwa yanayopita kwenye madaraja madogo,


 

Attachments

  • IMG-20140619-WA0039.jpg
    IMG-20140619-WA0039.jpg
    89.5 KB · Views: 6,968
  • lori 1.jpg
    lori 1.jpg
    44.1 KB · Views: 7,577
  • lori 2.jpg
    lori 2.jpg
    29.3 KB · Views: 7,374
Waanguke tu sasa maana tumechoka

Sasa wenzio tumekatiwa mawasiliano wewe unasema waanguke tu dah? hii njia ni MUHIMU sana kwa watu wa mbezi na kinyerezi hasa wakati wa foleni za asubuhi na jiioni
 
Nakwambia ilikuwa shughuli. Mi hapa ndo naingia ndani baada ya kuchepuka. Lilikuwa linahudumia hata wakazi Kimara na Kibaha wanaoogopa foleni ya Morogoro Road.
 
Kama unagari ndogo usijaribu kupitia seminary kutokea Stakishari maana pale Darajani hapafai
 
Magufuli si alikuwa anadhibiti uzito/dimension za malori akaonekana kama mwanga? Sasa hivyo vibarabara vyote vinakwisha na fedha hakuna....ukizingatia mapato yanategemea vyanzo vilevile vya bidhaa haramu na pia halafu hazitoshi
 
Kuna lori lililokuwa limebeba kontena limejaribu kupita daraja linalounganisha UKONGA {BANANA)- SEGEREA- KINYEREZI NA MBEZI limeharibika kabisa kwa kutumbukia na lori , kwa sasa foleni ni kubwa magari yote yanarudi, kwa wanaotoka mjini ni vyema kutumia njia ya VINGUNGUTI kwenda KINYEREZI, SEGEREA NA MBEZI,
Daraja limearibika sana.

attachment.php


NI VYEMA SHERIA IKACHUKUA MKONDO WAKE, haiingi akili mjinga mmoja kukata mawasilino wa watu wote kwenye njia muhimu kama hii.

Mfumo wa kudhibiti malori ya mizigo ni dhaifu sana nchini, madereva wangepewa route za kupita pale wanapotoa mizigo bandari na wanapoingiza mizigo hapa mjini kutoka mikoani,

Bila shaka jamaa wametumia mwanya wa polisi/trafic kutofanya kazi usiku kufanya huu utumbo, hivi kwa nini usiku kwa mji mkubwa kama Dar jeshi la polisi linalala mapema HIVYO?

..dreva anatakiwa kupewa adhabu kali...,

cc: John P. Magufuli
 
Inasemekana ktk kukwepa kwamba lori halina mzigo walikua wamewafungia vibarua 6 ndani ya Tela. 2 kati yao wamefia eneo la tukio. Sheria ya udhibiti wa uzito ktk barabara zetu za mijini ni hafifu sana. Malori makubwa yanaruhusiwa kupita ktk barabara ambazo hawaruhusiwi kupita. Uzito wa magari ya cement,mchanga na bidhaa nyingine lazima yadhibitiwe vikali kwa faini na adhabu ya kifungo.
 
Daraja la kinyerezi majumbasita limeanguka Mara baada ya dereva Wa Lori kulazimisha kupita name gari lenye uzito usioruhusiwa
 

Attachments

  • 1403198902358.jpg
    1403198902358.jpg
    89.4 KB · Views: 539
  • 1403198935551.jpg
    1403198935551.jpg
    53.1 KB · Views: 495
  • 1403198973505.jpg
    1403198973505.jpg
    40.9 KB · Views: 505
Watu wanaotokea tabata kuja majumba na banana inabidi wachepuke mpaka pale kwenye uchumi supermarket atafute Barabara ya stakishari
 
Back
Top Bottom