Daraja la Kinyerezi labomoka

Daraja la Kinyerezi labomoka

Hii ni zaidi ya hasara,moja kwa serikali pili kwa watumiaji wa njia hii,unadhani ni hasara kiasi gani watakuwa wamepata ama ni adha ipi itakuwa imetokea!?
Watu kama hawa ni wazembe wanachotakiwa sasa ni kulipa matengenezo ya hilo daraja haraka iwezekanavyo iwe kwa kukopa ama kufilisika,huwezi kupitisha uzito huo kwenye daraja kama hilo ninalifahamu vizuri kwakuwa ni la muda na bila shaka na vibao vipi na wakandarasi wapo kwenye site pia ,
Tupite wapi kesho kwenda kwenye shughuli zetu muda huu wenyewe bado ni usumbufu.
 
Kuna lori lililokuwa limebeba kontena limejaribu kupita daraja linalounganisha UKONGA {BANANA)- SEGEREA- KINYEREZI NA MBEZI limeharibika kabisa kwa kutumbukia na lori , kwa sasa foleni ni kubwa magari yote yanarudi, kwa wanaotoka mjini ni vyema kutumia njia ya VINGUNGUTI kwenda KINYEREZI, SEGEREA NA MBEZI,
Daraja limearibika sana.

attachment.php


NI VYEMA SHERIA IKACHUKUA MKONDO WAKE, haiingi akili mjinga mmoja kukata mawasilino wa watu wote kwenye njia muhimu kama hii.

Mfumo wa kudhibiti malori ya mizigo ni dhaifu sana nchini, madereva wangepewa route za kupita pale wanapotoa mizigo bandari na wanapoingiza mizigo hapa mjini kutoka mikoani,

attachment.php


Bila shaka jamaa wametumia mwanya wa polisi/trafic kutofanya kazi usiku kufanya huu utumbo, hivi kwa nini usiku kwa mji mkubwa kama Dar jeshi la polisi linalala mapema HIVYO?

Duh! miundo mbinu tunayoambiwa kuhusu kila siku na akina Geza Ulole Bulldog kadoda11
 
Last edited by a moderator:
Hapo kuna kibao kinachoonyesha gari mwisho tani kumi. Sasa sijui dereva alivaa miwani ya mbao? Na je wanasheria wa hapa jamvini hebu watuambie mwenye gari anaweza kuhusikaje na kesi kama hii ya uzembe wa dereva?
 
Magufuli si alikuwa anadhibiti uzito/dimension za malori akaonekana kama mwanga? Sasa hivyo vibarabara vyote vinakwisha na fedha hakuna....ukizingatia mapato yanategemea vyanzo vilevile vya bidhaa haramu na pia halafu hazitoshi
pinda anatakiwa kuwajibika ndo aliruhusu wanaozidisha uzito kuendelea kuharibu barabara zetu
 
Hapo kuna kibao kinachoonyesha gari mwisho tani kumi. Sasa sijui dereva alivaa miwani ya mbao? Na je wanasheria wa hapa jamvini hebu watuambie mwenye gari anaweza kuhusikaje na kesi kama hii ya uzembe wa dereva?

Mkuu hata mimi nimepita hapo jana asubuhi nikaona kibao kikionyesha mwisho Tani 10. Ni heri malori ya njia kuu kwasababu yanapimwa na ukizidisha uzito faini ama unaingia mfukoni kutoa rushwa lakini ni tofauti na Mijini ambako Milori inavunja sheria wazi wazi bila kuchukuliwa hatua za kisheria.

Na tatizo hili haliwezi kuisha kwa kuwatumia Matrafiki. Ni lazima Mamlaka za Miji/Jiji yaunde Vitengo ama ziingie Mkata na Makampuni kama Majembe kupambana na hawa wavunja sheria.
 
Mkuu hata mimi nimepita hapo jana asubuhi nikaona kibao kikionyesha mwisho Tani 10. Ni heri malori ya njia kuu kwasababu yanapimwa na ukizidisha uzito faini ama unaingia mfukoni kutoa rushwa lakini ni tofauti na Mijini ambako Milori inavunja sheria wazi wazi bila kuchukuliwa hatua za kisheria.

Na tatizo hili haliwezi kuisha kwa kuwatumia Matrafiki. Ni lazima Mamlaka za Miji/Jiji yaunde Vitengo ama ziingie Mkata na Makampuni kama Majembe kupambana na hawa wavunja sheria.


Kuna habari kuwa usiku kucha wa leo mzigo ulifaulishwa toka kwenye container ili ionekane ilikuwa ndani ya limit. We acha tu mkuu!
 
haya madaraja ya limits lakini madereva wetu shida sana, mwenye lorry anatakiwa afidie hasara kwa kweli

Sio madereva tu, tatizo wajenzi hawaweki mipaka ya UZITO wa magari yanayotakiwa kupita ktk madaraja au barabara zinapokamilika!
 
Huu ni ujinga tena wa hali ya juu unajua kabisa gari mwisho kupita tani 10!hao jamaa walipe hilo daraja
 
Msikimbilie kumlaumu mwenye lori, kwani mkandarasi alipewa atengeneze la kubeba uzito gani?
 
Ndo maana leo hii barabara ya pugu foleni imepungua.

Kufa kufaana, leo nimeteleza moja kwa moja hadi kwa ofisi. Bajeti yake itolewe baada ya uchaguzi mkuu mwakani..
 
Faida ya kuingiza siasa kwenye mambo ya kitaalamu. Mizengwe Punda lazima awajibike.


Tena si kidogo akajenge daraja kwa mshahara na posho zake, hakuna kugusa kodi zetu kwa uzembe wake
 
Huu ni ujinga tena wa hali ya juu unajua kabisa gari mwisho kupita tani 10!hao jamaa walipe hilo daraja


Thamani ya hilo lorry haitoshi hata kujenga nguzo za daraja kwanza lorry lenyewe ni mtumba pili limeshadhurika.
 
Msikimbilie kumlaumu mwenye lori, kwani mkandarasi alipewa atengeneze la kubeba uzito gani?


Kuna kibao kinaonesha maximum tonnage kule mwanzoni kabisa atakuwa alikipuuza
 
Msikimbilie kumlaumu mwenye lori, kwani mkandarasi alipewa atengeneze la kubeba uzito gani?

Hili ni daraja muda....kwa vyovyote kulikua na limit ya uzito.....nimesikia polisi wakisema tani 5....
 
Dereva atakuwa na akili ya pig. Utapitaje daraja lile na mzigo.mkubwa? ila pia sijajua kama mamlaka husika ziliweka kibao pale kutahadharisha kuhusu magari ya tani kubwa.

Kibao kipo mkuu: TONNE 7
 
Pengine alikua anaenda kushusha gunia mbili za mkaa nyumbani kwake,maana wenzetu hao nao kwa mbwembwe!
 
Back
Top Bottom