BigTime
Member
- Sep 17, 2008
- 43
- 4
Jana nilikuwa naangalia taarifa ya habari TBC nikamuona Mh.Dr.Dr.Kikwete akizindua rasmi awamu ya pili ya mpango wa elimu ya sekondari katika kutekeleza MDGs.
Katika hotuba yake alisisitiza kuwa ili nchi yeyote ile duniani iendelee kimaendeleo inahitaji watu wa daraja la pili...na kwa Tanzania watu hao ni wale waendesha ma-baloon na wenye elimu ya sekondari.....
Kweli naamini kabisa kuwa mheshimiwa haelewi kwa nini Tanzania ni maskini, ishu hapa sio waendesha ma-baloon bali ni uongozi mmbaya wenye rushwa na usioheshimu demokrasia (siasa safi).
Ili nchi yeyote ile iendelee inahitaji Ardhi, Watu na uongozi bora (siasa safi), TZ tuna Ardhi ya kumwaga, watu kibwena ila tatizo ni Uongozi....
Mheshimiwa wake up, tabaka la kati sio waleta maendeleo, bali sera safi, na uongozi bora ndo kitu muhimu kwa sasa...hayo mabaloon yasikufanye uamini kuwa Wa-Tz wameendelea, zaidi ya asilimia 87 ya Watanzania wanaganga njaa kupindukia.
Katika hotuba yake alisisitiza kuwa ili nchi yeyote ile duniani iendelee kimaendeleo inahitaji watu wa daraja la pili...na kwa Tanzania watu hao ni wale waendesha ma-baloon na wenye elimu ya sekondari.....
Kweli naamini kabisa kuwa mheshimiwa haelewi kwa nini Tanzania ni maskini, ishu hapa sio waendesha ma-baloon bali ni uongozi mmbaya wenye rushwa na usioheshimu demokrasia (siasa safi).
Ili nchi yeyote ile iendelee inahitaji Ardhi, Watu na uongozi bora (siasa safi), TZ tuna Ardhi ya kumwaga, watu kibwena ila tatizo ni Uongozi....
Mheshimiwa wake up, tabaka la kati sio waleta maendeleo, bali sera safi, na uongozi bora ndo kitu muhimu kwa sasa...hayo mabaloon yasikufanye uamini kuwa Wa-Tz wameendelea, zaidi ya asilimia 87 ya Watanzania wanaganga njaa kupindukia.