Daraja la kati ni wale waendesha ma-baloon - Dr. Jakaya Kikwete

BigTime

Member
Sep 17, 2008
43
4
Jana nilikuwa naangalia taarifa ya habari TBC nikamuona Mh.Dr.Dr.Kikwete akizindua rasmi awamu ya pili ya mpango wa elimu ya sekondari katika kutekeleza MDGs.

Katika hotuba yake alisisitiza kuwa ili nchi yeyote ile duniani iendelee kimaendeleo inahitaji watu wa daraja la pili...na kwa Tanzania watu hao ni wale waendesha ma-baloon na wenye elimu ya sekondari.....

Kweli naamini kabisa kuwa mheshimiwa haelewi kwa nini Tanzania ni maskini, ishu hapa sio waendesha ma-baloon bali ni uongozi mmbaya wenye rushwa na usioheshimu demokrasia (siasa safi).

Ili nchi yeyote ile iendelee inahitaji Ardhi, Watu na uongozi bora (siasa safi), TZ tuna Ardhi ya kumwaga, watu kibwena ila tatizo ni Uongozi....

Mheshimiwa wake up, tabaka la kati sio waleta maendeleo, bali sera safi, na uongozi bora ndo kitu muhimu kwa sasa...hayo mabaloon yasikufanye uamini kuwa Wa-Tz wameendelea, zaidi ya asilimia 87 ya Watanzania wanaganga njaa kupindukia.
 
jana nilikuwa naangalia taarifa ya habari tbc nikamuona mh.dr.dr.kikwete akizindua rasmi awamu ya pili ya mpango wa elimu ya sekondari katika kutekeleza mdgs. Katika hotuba yake alisisitiza kuwa ili nchi yeyote ile duniani iendelee kimaendeleo inahitaji watu wa daraja la pili...na kwa tanzania watu hao ni wale waendesha ma-baloon na wenye elimu ya sekondari.....kweli naamini kabisa kuwa mheshimiwa haelewi kwa nini tanzania ni maskini, ishu hapa sio waendesha ma-baloon bali ni uongozi mmbaya wenye rushwa na usioheshimu demokrasia (siasa safi).

Ili nchi yeyote ile iendelee inahitaji ardhi, watu na uongozi bora (siasa safi), tz tuna ardhi ya kumwaga, watu kibwena ila tatizo ni uongozi....mheshimiwa wake up, tabaka la kati sio waleta maendeleo, bali sera safi, na uongozi bora ndo kitu muhimu kwa sasa...hayo mabaloon yasikufanye uamini kuwa wa-tz wameendelea, zaidi ya asilimia 87 ya watanzania wanaganga njaa kupindukia.

is he serious ..au mmemkariri vibaya.....kweli mtu ambaye alishawahi kusomaga uchumi miaka ya 70 anaweza kusema hayo???????....hivi mnajuwa magari yote nchi hii hayazidi milioni moja......au mnadanganyika na hayo magari ambayo hayana mahali pa kupita????.....na kufikiri hao ndio watanzania ...nchi bado maskini,watu maskini ..kwa viwango vyetu hata mmiliki wa boda boda anastahili kuitwa mwenye uwezo....wachache wenye magari hao ni mamilionia...hawajafika hata asilimia 5% ya wananchi......bila shaka tabaka la kati tena lenye nguvu ni muhimu...tatizo bado hatuna tabaka la kati lenye nguvu ...
 
is he serious ..au mmemkariri vibaya.....kweli mtu ambaye alishawahi kusomaga uchumi miaka ya 70 anaweza kusema hayo???????....hivi mnajuwa magari yote nchi hii hayazidi milioni moja......au mnadanganyika na hayo magari ambayo hayana mahali pa kupita????.....na kufikiri hao ndio watanzania ...nchi bado maskini,watu maskini ..kwa viwango vyetu hata mmiliki wa boda boda anastahili kuitwa mwenye uwezo....wachache wenye magari hao ni mamilionia...hawajafika hata asilimia 5% ya wananchi......bila shaka tabaka la kati tena lenye nguvu ni muhimu...tatizo bado hatuna tabaka la kati lenye nguvu ...

uchumi wenyewe ndio huo wa kupata gentleman/pass degree!
 
Alikuwa sahihi. Nchi yoyote kuendelea inahitaji kujenga "middle class" ambayo "definition" yake inatofautiana nchi moja hadi nyingine. Lakini kwa Tanzania ni ukweli kuwa daraja la kati (middle class) ni hao wanaoendesha ma-"baloon". Inawezekana ni ya mikopo, lakini ukweli ni kuwa hawa wana kipato kiasi kwamba mabenki yamewaona wanakopesheka.

Hawa watu wa aina hii "proportion" yao inapokuwa kubwa katika nchi, ni ukweli kuwa hiyo inakuwa ishara ya mafanikio kwa nchi. Tanzania tukifikia level ambapo asilimia 80% ni hawa waendesha mabaloon, basi tumetoka. Serikali inatakiwa ijenge mkakati madhubuti wa kuhakikisha hili tabaka linakuwa kwani hawa ndo consumers. Uchumi ukiwa na consumers, viwanda vitajengwa kwani soko ni kubwa.

Hapa rais kasema ukweli. Tunaweza kutofautiana maoni ya jinsi gani ya kufikia kiwango cha kuwa na majority ya watu wetu katika daraja hili la kati, lakini ukweli ni kuwa tunahitaji kuwa na "strong middle class" kwa wingi.
 
Jana nilikuwa naangalia taarifa ya habari TBC nikamuona Mh.Dr.Dr.Kikwete akizindua rasmi awamu ya pili ya mpango wa elimu ya sekondari katika kutekeleza MDGs.

Katika hotuba yake alisisitiza kuwa ili nchi yeyote ile duniani iendelee kimaendeleo inahitaji watu wa daraja la pili...na kwa Tanzania watu hao ni wale waendesha ma-baloon na wenye elimu ya sekondari.....

Kweli naamini kabisa kuwa mheshimiwa haelewi kwa nini Tanzania ni maskini, ishu hapa sio waendesha ma-baloon bali ni uongozi mmbaya wenye rushwa na usioheshimu demokrasia (siasa safi).

Ili nchi yeyote ile iendelee inahitaji Ardhi, Watu na uongozi bora (siasa safi), TZ tuna Ardhi ya kumwaga, watu kibwena ila tatizo ni Uongozi....

Mheshimiwa wake up, tabaka la kati sio waleta maendeleo, bali sera safi, na uongozi bora ndo kitu muhimu kwa sasa...hayo mabaloon yasikufanye uamini kuwa Wa-Tz wameendelea, zaidi ya asilimia 87 ya Watanzania wanaganga njaa kupindukia.

Kusema ukweli naombea hapa mheshimiwa awe amekuwa "misquoted". Kama ni ukweli basi we are in deep trouble.......he could have put his economics degree into practice in this matter........but again no comments on that front...
 
is he serious ..au mmemkariri vibaya.....kweli mtu ambaye alishawahi kusomaga uchumi miaka ya 70 anaweza kusema hayo???????....hivi mnajuwa magari yote nchi hii hayazidi milioni moja......au mnadanganyika na hayo magari ambayo hayana mahali pa kupita????.....na kufikiri hao ndio watanzania ...nchi bado maskini,watu maskini ..kwa viwango vyetu hata mmiliki wa boda boda anastahili kuitwa mwenye uwezo....wachache wenye magari hao ni mamilionia...hawajafika hata asilimia 5% ya wananchi......bila shaka tabaka la kati tena lenye nguvu ni muhimu...tatizo bado hatuna tabaka la kati lenye nguvu ...

Mkuu, Dr. Kikwete alitamka hayo maneno kama yalivyonukuliwa hapo juu, tena cha kushangaza zaidi alikuwa anasoma; design hotuba yake iliandaliwa hivyo, taarifa ya habari jana TBC walirusha hii makitu.
 
Kusema ukweli naombea hapa mheshimiwa awe amekuwa "misquoted". Kama ni ukweli basi we are in deep trouble.......he could have put his economics degree into practice in this matter........but again no comments on that front...

Ni kweli alisema hivyo,akisistiza umuhimu wa kuwa na middle class kubwa,akasema duniani pote middle class ndo nguzo ya kunyanyuka kwa uchumi,majority wanapokuwa lower class ni ngumu sana,tunabaki chini............Its not surprising at all when it come sfrom him,he was very confident whe talking!!!:smile-big:
 
Ni kweli alisema hivyo,akisistiza umuhimu wa kuwa na middle class kubwa,akasema duniani pote middle class ndo nguzo ya kunyanyuka kwa uchumi,majority wanapokuwa lower class ni ngumu sana,tunabaki chini............Its not surprising at all when it come sfrom him,he was very confident whe talking!!!:smile-big:

Aliandikiwa akasoma, nothing more. And i guess it doesn't mean anything to him. Kikwete hana political will ya kuona watanzania wanaondokana na umaskini, he is busy kufanya madili yake.
 
Alikuwa sahihi. Nchi yoyote kuendelea inahitaji kujenga "middle class" ambayo "definition" yake inatofautiana nchi moja hadi nyingine. Lakini kwa Tanzania ni ukweli kuwa daraja la kati (middle class) ni hao wanaoendesha ma-"baloon". Inawezekana ni ya mikopo, lakini ukweli ni kuwa hawa wana kipato kiasi kwamba mabenki yamewaona wanakopesheka.

Hawa watu wa aina hii "proportion" yao inapokuwa kubwa katika nchi, ni ukweli kuwa hiyo inakuwa ishara ya mafanikio kwa nchi. Tanzania tukifikia level ambapo asilimia 80% ni hawa waendesha mabaloon, basi tumetoka. Serikali inatakiwa ijenge mkakati madhubuti wa kuhakikisha hili tabaka linakuwa kwani hawa ndo consumers. Uchumi ukiwa na consumers, viwanda vitajengwa kwani soko ni kubwa.

Hapa rais kasema ukweli. Tunaweza kutofautiana maoni ya jinsi gani ya kufikia kiwango cha kuwa na majority ya watu wetu katika daraja hili la kati, lakini ukweli ni kuwa tunahitaji kuwa na "strong middle class" kwa wingi.


kaka nakubaliana na wewe kabisa.......mabaloon haya watu wengi wamekopeshwa na mabenk yameona kwamba wanakopesheka, hivyo watu hawa wakiwa wengi kuweza kukopa uchumi utakua kwani uwekezaji utapanuka na ajira kuwa nyingi nchini....nakubaliana na mheshimiwa rais asilimia 100...ila kwa watu wenye upeo mdogo ni vigumu kumuelewa.
 
......mabaloon haya watu wengi wamekopeshwa na mabenk yameona kwamba wanakopesheka, hivyo watu hawa wakiwa wengi kuweza kukopa uchumi utakua kwani uwekezaji utapanuka na ajira kuwa nyingi nchini....nakubaliana na mheshimiwa rais asilimia 100...ila kwa watu wenye upeo mdogo ni vigumu kumuelewa.....alitolea mfano kwa wenye mabaloon na sio kwamba wenye mabaloon ndio haswa middle classes, kuna middle class wengine ambao wana businesses na hawana mabaloon
 
Nafikiri lengo lake lilikuwa kutaka kuonyesha jinsi ambavyo middle class la tanzania lilivyo na uwezo, tabaka hili ndio linauwezo wa kufanya kazi na kuzalisha na pia ndio walaji wakuu wa vitu vinavyozalishwa. Tabaka hili likiwa kubwa ni dhahiri hali ya uchumi inaboreka.
 
Ni uchumi gani ambao "luxury expenditures" zinajenga mhimili wa kukua "exponent domestic growth"? Kwa nini asiwaze viwanda vya kati, uzalishaji wa kati nk. Tz pick-up car ina ushuru mkubwa sana (import duties) kulinganisha na baloons, pengine ndio sera ya maendeleo ya Tz.

Tabaka la kati, katika nchi mathalan US, ni tabaka lenye diversity na resources kubwa ndio maana ni segment kubwa ya labour market and economy. Mazingira, sera na sheria za uchumi lazima zielekezwe kuzaa kundi hilo. Sio sera za kindugu, ukiritiimba, rushwa na ufisadi maana wakizaliwa na mfumo mbovu kama huo itakuwa balaa tu; ni sawa na kutoa uchumi mikononi mwa mafisadi fulani na kuwakabidhi wengine.
 
is he serious ..au mmemkariri vibaya.....kweli mtu ambaye alishawahi kusomaga uchumi miaka ya 70 anaweza kusema hayo???????....hivi mnajuwa magari yote nchi hii hayazidi milioni moja......au mnadanganyika na hayo magari ambayo hayana mahali pa kupita????.....na kufikiri hao ndio watanzania ...nchi bado maskini,watu maskini ..kwa viwango vyetu hata mmiliki wa boda boda anastahili kuitwa mwenye uwezo....wachache wenye magari hao ni mamilionia...hawajafika hata asilimia 5% ya wananchi......bila shaka tabaka la kati tena lenye nguvu ni muhimu...tatizo bado hatuna tabaka la kati lenye nguvu ...

Naombeni kuuliza Political Economy imefanana per se na Economics? Nauliza hivi kwasababu nilishawahi kuopt course ya political economy na haikuwa ngumu kiviiile....PE ndio Economics yenyewe?
 
Kikwete anachefua na Lugha zake za mitaani. He is the head of state lkn kauli zake nyingine utafikiri muhuni fulani hivi. Ma-baloon, ukizoea kula nawe utaliwa, mambo mswano, changanya na za kwako, watoto wanakiherehere, leo hakuna mchawi hapa, oooops............
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom