zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,220
haya tutajadil hli sote na wadau wengine
Hujamalizia hapo bana....ni King of all social network media:becky:
Heheheheh! Kudagadeki maadam mwanaizaya weye tena mwana mtoka pabaya utakuwepo, basi sina budi na sina jinsi ntalazimika kutia timu. Nisopokuwa makini utaniharibia wajukuu zangu hivi hivi nikiwa na nguvu zangu.
Yeah, vigezo na masharti vizingatiwe. Ijumaa ni siku ya kazi na kwa wengine pia Jumamosi ni siku ya kazi. Imagine utoke kupiga mtungi, afu ukakague kabinti kama amu au Paloma then kesho tena umpelekee mkoloni makalio.... Nani anataka mastarehe ya mashaka??? Bila kujalisha tarehe, ODM anapendekeza siku iwe Jumamosi ili jumapili tudamkie makanisani kutubu zambi za uzinzi na Mungu atusamehe na kuturehemu:becky::becky:
kamnyama kamekata kona bestito.
kaliona njia ni ndefu halafu kuna kajimlima ka kupanda, kakaona bora kakate kona kaangalie njia nyepesi isiyo na vilima akasahau ni bora mlima unaouona kuliko usioujua lol!
Heheheheh! Kudagadeki maadam mwanaizaya weye tena mwana mtoka pabaya utakuwepo, basi sina budi na sina jinsi ntalazimika kutia timu. Nisopokuwa makini utaniharibia wajukuu zangu hivi hivi nikiwa na nguvu zangu.
Yeah, vigezo na masharti vizingatiwe. Ijumaa ni siku ya kazi na kwa wengine pia Jumamosi ni siku ya kazi. Imagine utoke kupiga mtungi, afu ukakague kabinti kama amu au Paloma then kesho tena umpelekee mkoloni makalio.... Nani anataka mastarehe ya mashaka??? Bila kujalisha tarehe, ODM anapendekeza siku iwe Jumamosi ili jumapili tudamkie makanisani kutubu zambi za uzinzi na Mungu atusamehe na kuturehemu:becky::becky:
Hata mie napendekeza tarehe 26 ili nitoke huku na basi alfajiri by 2100hrs niwepo..... Si mnajua tena MKOLONI ana machungu January hii...... Hata ukiugua utalazimika kuja job tu!!!!!!!!!!!!!!
Heheheheh! Kudagadeki maadam mwanaizaya weye tena mwana mtoka pabaya utakuwepo, basi sina budi na sina jinsi ntalazimika kutia timu. Nisopokuwa makini utaniharibia wajukuu zangu hivi hivi nikiwa na nguvu zangu.
Yeah, vigezo na masharti vizingatiwe. Ijumaa ni siku ya kazi na kwa wengine pia Jumamosi ni siku ya kazi. Imagine utoke kupiga mtungi, afu ukakague kabinti kama amu au Paloma then kesho tena umpelekee mkoloni makalio.... Nani anataka mastarehe ya mashaka??? Bila kujalisha tarehe, ODM anapendekeza siku iwe Jumamosi ili jumapili tudamkie makanisani kutubu zambi za uzinzi na Mungu atusamehe na kuturehemu:becky::becky:
Mwl gfsonwin japo ningependekeza hiwe tareh 26, lakini kama wengi wamechagua hiyo tareh 25 bila shaka ntajua cha kufanya nisikose!
Hapo kwenye mweka hazina( Mtambuzi) pametulia, naomba atoe utaratibu wa kutoa michango. na
kamati yote nimeikubali na hapo kwa mc lara 1 pametulia pia, Napendekeza deadline ya kupoke michango kuwa tareh 20.
Muda wa kuanza shughuli napendekeza saa kumi jioni lakini siyo ya kitanzania.
(Tafadhali azam cola zisikose)
NB: Maneno yangu si sheria!
hahahhah Smile acha utan kwa dada bana kuwa siriaz basi?? halafu naomba radhi kwa kumsahau figganigga mdogo wangu wa ukweli na Nicas Mtei(ila huyu sijui kaama wing) ngoja tuone.
mmhhh ni wewe au kuna mtu kaiba password??azam coke tena.
Eti si utanipitia??tukae wote kama siku ile sawa??
Mi nawaogopa watu kama wakina Asprin maana hakawii.
Sasa basi mpendekeze na id zenu zote ...
Maana kama Asprin yeye ndo Mwanamalundi na wale wote wenye mtazamo huo sitaki kuwatag mtaje na id zenu zote...
Nyie nimewaweka MMU kwa masaa 24 hata hamnishukuru?mmhhh ni wewe au kuna mtu kaiba password??azam coke tena.
Eti si utanipitia??tukae wote kama siku ile sawa??
Mi nawaogopa watu kama wakina Asprin maana hakawii.
Sasa basi mpendekeze na id zenu zote ...
Maana kama Asprin yeye ndo Mwanamalundi na wale wote wenye mtazamo huo sitaki kuwatag mtaje na id zenu zote...
Nyie nimewaweka MMU kwa masaa 24 hata hamnishukuru?
Nimewakamataaaajeeee??