DAR WING -wa WHITE PARTY

Hujamalizia hapo bana....ni King of all social network media:becky:

Haaaaa haaaaa Mjumbe wa kamati ya . . . . Mbunge Mtarajiwa Jimbo la . . . . Mutu ya Watu; Mutu ya Mabebs wa Ukweee . . . kama vipi ujipange upya! Haaaa haaaaa Smile upo?
 
Last edited by a moderator:

haya nenda kafanye editing ya post #1 wee mwenyewe sasa.
nakutumia psword kwenye pm sawa?? kubali kwaza kabla sijaituma
 
kamnyama kamekata kona bestito.
kaliona njia ni ndefu halafu kuna kajimlima ka kupanda, kakaona bora kakate kona kaangalie njia nyepesi isiyo na vilima akasahau ni bora mlima unaouona kuliko usioujua lol!

Mwambie njia hiyo haifai ina msitu Mkubwa! Ataliwa na Simba!
 

Na watu wote waseme Ameeeeeen!!!!
 
Last edited by a moderator:
azamu zitatufaa kwa wale ambao hatutagusa mvinyo..sijaona kamati ya ulinzi hapo kwa ajiri usalama wa wanajf,na kuhakikisha hakuna kuibiana ving'amuzi..

Hilo ntalibeba mwenyewe,

tunashukuru sana mkuu kwa hilo.
 
Wooooow
my boss don miss!

Hata mie napendekeza tarehe 26 ili nitoke huku na basi alfajiri by 2100hrs niwepo..... Si mnajua tena MKOLONI ana machungu January hii...... Hata ukiugua utalazimika kuja job tu!!!!!!!!!!!!!!
 


Mambo huweza nitinga, niisakapo riziki,
Mkahisi nawatenga, mkahisi siwataki,
Juweni nasaka mpunga, ili niishinde dhiki,
Niwapo kimya wapendwa, msidhani siwapendi.

Najua mnaumia, kwani hamwishi lalama,
Nami ninawasikia, huku moyo ‘kiniuma,
Najaribu kuzuia, kwa maneno ninasema,
Niwapo kimya wapendwa, msidhani siwapendi.

Salamu kweli muhimu, daima kukumbukana,
Huleta mashamshamu, nayo mapenzi kufana,
Ukimya unayo sumu, kama utazidi sana,
Niwapo kimya wapendwa, msidhani siwapendi.

Nipo nanyi ndugu zangu wana JF, hakika nitakuja Dar siku hiyo ya MKODOBWE
 

mmhhh ni wewe au kuna mtu kaiba password??azam coke tena.
Eti si utanipitia??tukae wote kama siku ile sawa??
Mi nawaogopa watu kama wakina Asprin maana hakawii.
Sasa basi mpendekeze na id zenu zote ...
Maana kama Asprin yeye ndo Mwanamalundi na wale wote wenye mtazamo huo sitaki kuwatag mtaje na id zenu zote...
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahahahahahahahaha
amu ni mimi mwenyewe hakuna wa kuniibia password! Azam cola nilipendekeza niliona kama unazipenda hata mimi natumia!

Mimi si mliki wa id zaidi ya hii ya Ruttashobolwa(jina langu)
bila shaka tutakuwa pamoja!
Babu Asprin yeye atakaa mbali si unajua amezeeka siku hizi!

 
Last edited by a moderator:
Nyie nimewaweka MMU kwa masaa 24 hata hamnishukuru?
Nimewakamataaaajeeee??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…