mnangagwa
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 978
- 1,424
Kujua hiyo lugha ndo kwenda shule?Nani alikukataza usiende shule?
Kujua hiyo lugha ndo kwenda shule?Nani alikukataza usiende shule?
Wa tz bwana...Waliopotea ni watanzania au waingereza?
Mleta mada acha uduwanzi hukutulipia ada!
Nani alikukataza usiende shule?
Wachina, wahindi wajapani n.k hawaendi sawa na kasi ya dunia isipokuwa wewe mtumwa mmoja masikini kutoka Tanzania?Wa tz bwana...
Serikali iongeze Juhudi kwenye lugha hii kuanzia mashuleni hili nalo linachangia udumavu wa akili na uwigo wa kudadavua mambo
Kwa style hii kweli tutakwenda sambamba na kasi ya dunia hii?
Kuna siku nipo catalunya Barcelona,, Spain.Wa tz bwana...
Serikali iongeze Juhudi kwenye lugha hii kuanzia mashuleni hili nalo linachangia udumavu wa akili na uwigo wa kudadavua mambo
Kwa style hii kweli tutakwenda sambamba na kasi ya dunia hii?
Kwenda shule au kuzaliwa mswahili?Nani alikukataza usiende shule?
Na pia inawezekana tu simu yake ilitumiwa na hao watu wabaya..ili ujumbe uwafikie ndugu ht km sio kweli wamekamatwa na polisiMmoja wa hao vijana aliwajulisha ndugu kuwa wamekamatwa na polisi
Kuna muda nlicomment!Hao itakuwa wanajihusisha na wizi,ss either wapo ngome au ndio vile tena..
Ni vyema wajulikane tu wapo wapi. Haya maswala ya kukamata watu na kuficha ndugu zao ni mabaya sana kama ya wale walinzi wa mbowe haina tofaut na uhalifu mwingineHao itakuwa wanajihusisha na wizi,ss either wapo ngome au ndio vile tena..
Au huyo anaye kaa ilala unamjuaKwenye hili tukio nimejifunza kitu kikubwa sana na kuanzia leo ntaanza kuviheshimu vyombo vya ulinzi na usalama vya nchi yetu..
Kazi wanayofanya ni ngum sana aisee..
Kwenye hizo sura zilizowekwa za hao vijana kijana mmoja sura yake sio ngeni sana kwangu..
Sidhani kua namfananisha..
Jamni tuacheni vyombo vya ulinzi na uslama vifanye kazi zao
we mbona kama unajua zaidi??Kwenye hili tukio nimejifunza kitu kikubwa sana na kuanzia leo ntaanza kuviheshimu vyombo vya ulinzi na usalama vya nchi yetu..
Kazi wanayofanya ni ngum sana aisee..
Kwenye hizo sura zilizowekwa za hao vijana kijana mmoja sura yake sio ngeni sana kwangu..
Sidhani kua namfananisha..
Jamni tuacheni vyombo vya ulinzi na uslama vifanye kazi zao
Umo umo mkuu,Au huyo anaye kaa ilala unamjua
Ova
Mkuu unataka kunifanyia vitu gani mimi mkuu ..we mbona kama unajua zaidi??