Adhabu kwa wapuuzi kama yeye
Njia pekee na sahihi ni chadema kwenda ICC The Hague kufungua kesi dhidi ya Udikteta wa magufuli na Timu yake yote ili wapate kujitambua na kuacha kuwabambikia Wapinzani kesi ni uonevu kuwakomoa na kutumia pesa za Umma kwa mambo ya hovyo hovyo ikiwemo kumpatia Lipumba adhoofishe upinzani na zingine wanapewa Bashite kutengeneza Slow poison kuwateketeza Wapinzani pindi wakiwa jela,Dunia inajua kwamba Tanzania hakuna demokrasia
Dunia inajua wote wanaopigania demokrasia bila woga wamewekwa gerezani na police kwa amri ya raisi magufuli
Dunia inajua lisu anashikiliwa kwa amri ya raisi, waziri mkuu, mwigulu nchemba bila kosa kisa tu akishinikiza sheria na katiba ya nchi kufuatwa
Dunia inajua lisu yuko ndani akipigania demokrasia ya vyama vya siasa kuendelea na mikutano na shuhuli zao kama ilivyo ada ya vyama vya siasa bila kuzuiliwa na yeyote
Kinachoshangaza kuna chama kimoja tu cha ccm kinaendelea na mikutano yao bila kuzuiliwa ila chadema kimezuiliwa
Nasema hatutalala mpaka tumehakikisha hali imekuwa sawa na ikishindikana Tutatumia zile za mwigulu nchemba alizozifanya mpaka akapata uwaziri wa mambo ya ndani
Tundu lisu aachiliwe mara moja na hizo amri zilizotokea huko juu
Narudia tena dunia inajua lisu yuko ndani bila kosa kwa amri ya waliojuu
Makamu wa Rais - Zenje
Waziri Mkuu - Lindi
Spika - Dodoma
Naibu Spika - Mbeya
Mawaziri wandamizi ;
Lukuvi - Iringa
Mwakyembe - Mbeya
Simbachaweni - Dodoma
Makamba - Tanga
Ummy Mwalimu - Tanga
Maghembe - Kilimanjaro
Kairuki - Kilimanjaro
Mpango - Kigoma
Ndalichako - Kigoma
Mwigulu - Singidag
Mbarawa - Zenji
Kabudi - ???
Nape - alikuwa Lindi
Muhongo - Mara
Mahiga - Iringa
Lwenge - Iringa
Mhagama - Ruvuma
Mwinyi - Zenji
Huu ukabila na ukanda upo wapi hapo, Lissu atavuna tu chuki anayopanda 2020
Duni gani; ya mtaa wa Ufipa?...Narudia tena dunia inajua lisu yuko ndani bila kosa kwa amri ya waliojuu
Wazungu wanachojali ni uchumi tu utakaowapa pesa magufuli kawabana maeneo wanayopatia pesa za hovyo hovyo hili la Lisu wala hawana muda nalo uhuru wa kuongea hauwaingiziii hata shilingi mia sana sana pesa zitatawatoka kuwapa vibaraka fisadi wa kitanzania wanaojitia kuandika miradi ya advocacy ya kuwasemea wazungu kama lisunbungeni nk at a fee.Dunia inajua kwamba Tanzania hakuna demokrasia
Dunia inajua wote wanaopigania demokrasia bila woga wamewekwa gerezani na police kwa amri ya raisi magufuli
Dunia inajua lisu anashikiliwa kwa amri ya raisi, waziri mkuu, mwigulu nchemba bila kosa kisa tu akishinikiza sheria na katiba ya nchi kufuatwa
Dunia inajua lisu yuko ndani akipigania demokrasia ya vyama vya siasa kuendelea na mikutano na shuhuli zao kama ilivyo ada ya vyama vya siasa bila kuzuiliwa na yeyote
Kinachoshangaza kuna chama kimoja tu cha ccm kinaendelea na mikutano yao bila kuzuiliwa ila chadema kimezuiliwa
Nasema hatutalala mpaka tumehakikisha hali imekuwa sawa na ikishindikana Tutatumia zile za mwigulu nchemba alizozifanya mpaka akapata uwaziri wa mambo ya ndani
Tundu lisu aachiliwe mara moja na hizo amri zilizotokea huko juu
Narudia tena dunia inajua lisu yuko ndani bila kosa kwa amri ya waliojuu
Hivi Mhongo bado ni Waziri? Bangi linalotolewa Lumumba halijawahi muacha mtu salama.Makamu wa Rais - Zenje
Waziri Mkuu - Lindi
Spika - Dodoma
Naibu Spika - Mbeya
Mawaziri wandamizi ;
Lukuvi - Iringa
Mwakyembe - Mbeya
Simbachaweni - Dodoma
Makamba - Tanga
Ummy Mwalimu - Tanga
Maghembe - Kilimanjaro
Kairuki - Kilimanjaro
Mpango - Kigoma
Ndalichako - Kigoma
Mwigulu - Singidag
Mbarawa - Zenji
Kabudi - ???
Nape - alikuwa Lindi
Muhongo - Mara
Mahiga - Iringa
Lwenge - Iringa
Mhagama - Ruvuma
Mwinyi - Zenji
Huu ukabila na ukanda upo wapi hapo, Lissu atavuna tu chuki anayopanda 2020
maneno ya hovyo aliyoyasema huyajui?Dunia inajua kwamba Tanzania hakuna demokrasia
Dunia inajua wote wanaopigania demokrasia bila woga wamewekwa gerezani na police kwa amri ya raisi magufuli
Dunia inajua lisu anashikiliwa kwa amri ya raisi, waziri mkuu, mwigulu nchemba bila kosa kisa tu akishinikiza sheria na katiba ya nchi kufuatwa
Dunia inajua lisu yuko ndani akipigania demokrasia ya vyama vya siasa kuendelea na mikutano na shuhuli zao kama ilivyo ada ya vyama vya siasa bila kuzuiliwa na yeyote
Kinachoshangaza kuna chama kimoja tu cha ccm kinaendelea na mikutano yao bila kuzuiliwa ila chadema kimezuiliwa
Nasema hatutalala mpaka tumehakikisha hali imekuwa sawa na ikishindikana Tutatumia zile za mwigulu nchemba alizozifanya mpaka akapata uwaziri wa mambo ya ndani
Tundu lisu aachiliwe mara moja na hizo amri zilizotokea huko juu
Narudia tena dunia inajua lisu yuko ndani bila kosa kwa amri ya waliojuu
Unaonesha wewe ni mvivu wa kusoma na kusikiliza alichosema Tundu Lissu. Jitahidi kufuatilia kilichosemwa kabla hujachangia maada.Makamu wa Rais - Zenje
Waziri Mkuu - Lindi
Spika - Dodoma
Naibu Spika - Mbeya
Mawaziri wandamizi ;
Lukuvi - Iringa
Mwakyembe - Mbeya
Simbachaweni - Dodoma
Makamba - Tanga
Ummy Mwalimu - Tanga
Maghembe - Kilimanjaro
Kairuki - Kilimanjaro
Mpango - Kigoma
Ndalichako - Kigoma
Mwigulu - Singidag
Mbarawa - Zenji
Kabudi - ???
Nape - alikuwa Lindi
Muhongo - Mara
Mahiga - Iringa
Lwenge - Iringa
Mhagama - Ruvuma
Mwinyi - Zenji
Huu ukabila na ukanda upo wapi hapo, Lissu atavuna tu chuki anayopanda 2020