DAR: Tundu Lissu aendelea kushikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana. Waandishi watishwa!

Waandishi wa habari walioshiriki Press Conference ya Lissu na kuandika habari zake wameitwa Polisi kuhojiwa. Taarifa za awali zinaeleza kuwa baadhi yao watashtakiwa kwa kusambaza habari za uchochezi kinyume na Sheria ya huduma za habari kifungu cha 47(1), ambapo wakipatikana na hatia waweza kufungwa miaka mitatu hadi mitano jela, faini ya milioni 20 au vyote kwa pamoja.

[HASHTAG]#Mytake[/HASHTAG]:
Inasikitisha kuona nchi yetu imefika hapa. Waandishi hawapo huru tena. Inabidi waandike yanayofurahishawatawala tu, na kuacha kuandika yanayowakera. Hata kama ni ya kweli lakini yakiwaudhi watawala ni kosa. Naanza kuona habari nyingi za wapinzani zikikosa coverage kwa waandishi kuhofia kushtakiwa. Hii ni dalili mbaya sana katika ukuaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini. Inasikitisha sana.!

Nakubaliana na wewe ni vibaya kuzuwia baadhi ya habari zisisambae vivyo hivyo sikubaliani na uhuni wa waandishi wa habari kuamua habari ya nani waisambaze.Kama ilivyovibaya kutumia mamlaka kuzuwia habari ni ubaya wa kiwango kile kile kutumia kalamu yako kuzuwia habari za wengine.

Kwa kuwa ni vibaya kuandika habari zinazosifu watawala tu kwa nini baadhi yetu wanadhani ni vizuri kuandika habari zinazopinga kila kitu cha watawala na kupendesha habari za wasiokubaliana na watawala?

Unachopanda ndicho unachovuna.
 
Waandishi wa habari walioshiriki Press Conference ya Lissu na kuandika habari zake wameitwa Polisi kuhojiwa. Taarifa za awali zinaeleza kuwa baadhi yao watashtakiwa kwa kusambaza habari za uchochezi kinyume na Sheria ya huduma za habari kifungu cha 47(1), ambapo wakipatikana na hatia waweza kufungwa miaka mitatu hadi mitano jela, faini ya milioni 20 au vyote kwa pamoja.

[HASHTAG]#Mytake[/HASHTAG]:
Inasikitisha kuona nchi yetu imefika hapa. Waandishi hawapo huru tena. Inabidi waandike yanayofurahishawatawala tu, na kuacha kuandika yanayowakera. Hata kama ni ya kweli lakini yakiwaudhi watawala ni kosa. Naanza kuona habari nyingi za wapinzani zikikosa coverage kwa waandishi kuhofia kushtakiwa. Hii ni dalili mbaya sana katika ukuaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini. Inasikitisha sana.!
Polisi wenyewe elimu zao ni division zero na njaa waliyonayo unategemea wawe na akili!
 
Naanza na quote
"programmer95 said:
Tundu lissu ni adui no moja wa Tanzania anatumika na wazungu bora itolewe amri auliwe na mbwa wakali kama ilivyokuwa korea ya kaskazini." mwisho wa quote.

Huwa inanisikitisha sana hii tabia ya kusema uongo. Kuna watu wamekuwa wakituhumu Lissu kutumika na wazungu. Lisuu ameanzaq kupambana na wazungu kwenye eneo la madini tangu akiwa LEAT na kina Dr. Nshala. Wakati huo serikali ikiwa imesimama kwa kutumia jeshi la polisi kupamana na LEAT. nani aiye fahamu kuwa Lissu alishafunguliwa kesi kibao na serikali huko Musoma kwa kupingana na hao wawekezaji. Leo hii kwa kumbukumbu za kimbuzi na kikuku watu wanathubutu kusema Lissu anatumika na wazungu wakati miaka yote wanaotumika na wazungu wanajulikana. Niishie hapa nisiseme kuhusu hiyo kesi tunayotengeneza.
 
Waandishi wa habari walioshiriki Press Conference ya Lissu na kuandika habari zake wameitwa Polisi kuhojiwa. Taarifa za awali zinaeleza kuwa baadhi yao watashtakiwa kwa kusambaza habari za uchochezi kinyume na Sheria ya huduma za habari kifungu cha 47(1), ambapo wakipatikana na hatia waweza kufungwa miaka mitatu hadi mitano jela, faini ya milioni 20 au vyote kwa pamoja.

[HASHTAG]#Mytake[/HASHTAG]:
Inasikitisha kuona nchi yetu imefika hapa. Waandishi hawapo huru tena. Inabidi waandike yanayofurahishawatawala tu, na kuacha kuandika yanayowakera. Hata kama ni ya kweli lakini yakiwaudhi watawala ni kosa. Naanza kuona habari nyingi za wapinzani zikikosa coverage kwa waandishi kuhofia kushtakiwa. Hii ni dalili mbaya sana katika ukuaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini. Inasikitisha sana.!

Hawa watawala wanaliaibisha Taifa letu. Ni vema wakajitafakari
 
Back
Top Bottom