Mayonene
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 1,595
- 1,417
Yeye alihisi mnamuona.Mkiweka thread muwe mnataja na mkoa wapendwa!!! Ukisema "Posta" posta ziko nyingi Tanzania, wengine hatujui unaongela sehemu gani ya Jamhuri yetu ya Muungano wa Tanzania!!!!