real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
DAR: Jeshi la polisi limewakamata watu 106 katika stendi ya mabasi Ubungo kwa makosa ya wizi,uvamizi wa abiria na unyang'anyi wa mizigo
Kamanda wa Polisi kanda ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa anasema polisi waliwakamata watu hao baada ya kufanya msako mkali kufuatia kuongezeka kwa uhalifu unaofanywa kwa abiria waendao mikoani
Watuhumiwa 95 walikamatwa kwa makosa ya kuwabugudhi abiria na kuwanyang'anya mali walizonazo
Watu hao wamepekekwa mahakama ya jiji
Chanzo: Global TV
Kamanda wa Polisi kanda ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa anasema polisi waliwakamata watu hao baada ya kufanya msako mkali kufuatia kuongezeka kwa uhalifu unaofanywa kwa abiria waendao mikoani
Watuhumiwa 95 walikamatwa kwa makosa ya kuwabugudhi abiria na kuwanyang'anya mali walizonazo
Watu hao wamepekekwa mahakama ya jiji
Chanzo: Global TV