Tuombee nini sasa maana lazima tuwe specificMaombi yetu yanahitajika
Apone na kumuona Tundu Lissu akila kiapo cha kuwa rais wa awamu ya sita .
No ni fatigue, kama alipona kashikashi za JK kumfukuza uanachama, mengine ni etc that do not carry weight
Kumbe pia aliwahi kutimuliwa toka CCM ! Ilikuwa Lini hiyo ili taarifa ziwepo katika kumbukumbu za siasa za chama hicho kongwe.
Swali zuri saaana na kwa akili ulizonazo huwezi kuwa ccm kabisa uhakika ninao.Akifa napo mtafanya siri?
Wakiku correct ni tagBinafsi naona ni matokeo ya kutimuana... I STAND TO BE CORRECTED
YaaniKuna Kauli Ccm Wanatoa Inakuwa Kamawa kati
Tumuombee nani tena dada ? Sisi tuna mambo yetu meeengi ya kuomba kwa Mungu kuanzia ajira mpaka kuongezewa mshahara achilia mbali mambo ya corona. Huyo alipie matibabu tuMaombi yetu yanahitajika