LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 9,211
- 12,716
Wakimaliza kwetu watakuja kwenu.wanaccm wanakulana sasa hiyo Ni laana.hongera sana kaka tundu lisu dah.
Huyo Ni mwanaccm mfuasi wa membe.ndani ya ccm wafuasi wa membe inabidi washughulikiwe kabla ya 2020 wote.Tatizo ni hii picha ya juzi
View attachment 1176211
Mwandishi wa Habari za Uchunguzi Bollen Ngetti, Bollen Ngetti, amekamatwa jioni hii na askari 3, na kupelekwa kituo cha Polisi Stakshari.
View attachment 1176056
Kama tunakutafta tumepata 1/3 ya uhakika
Wakiambiwa maneno fulani hivi na Faiza Foxy ya kukera,wanalalamika.Eti habari za uchunguzi. Habari za uchunguzi zipi zaidi ya kuanalyse hotuba au matendo ya wengine?
Uchochezi au ML ndio silaha zao.Kakamatwa au katekwa. Ngoja tuone atapewa kesi ya aina gani
Huyo jamaa ni mropokaji bora akapumzike uko akitoka ajifunze
Tuendelee kukaa kimya hadi tutakapokamatwa wote ndipo akili zitakapokwenda kufungukia huko magerezani.
Kwa sasa tuendelee kupiga kelele kwenye mitandao sababu bado zamu yetu haijafika.
Yani ni mwendo wa kuvua mmoja mmoja kama kambale vile. Aiseee hivi sisi ni Nani. ?
Eti habari za uchunguzi. Habari za uchunguzi zipi zaidi ya kuanalyse hotuba au matendo ya wengine?
Huyo jamaa ni mropokaji bora akapumzike uko akitoka ajifunze
Tayari ndo imeshakushindaHouse girl afanye kazi gani ?
Hali si shwari kwa waandishi wa habari za kichunguzi nchini Tanzania. Mpaka ufike uchaguzi mkuu waandishi watakuwa na mengi ya kusimuliaMwandishi wa Habari za Uchunguzi Bollen Ngetti, Bollen Ngetti, amekamatwa jioni hii na askari 3, na kupelekwa kituo cha Polisi Stakshari.
View attachment 1176056
Bollen anasemekana kuwa na Diploma ya Uandishi wa Habari na kuwa alikuwa Mhariri wa Gazeti la Sauti Huru
Kuna Mropojaji zaidi ya MUSIBA nchi hii.??? Anyway ngoja tumalize mafunzo ya kutumia AK 47 vizuri tutakuja heshimiana