Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,070
Hahahahahaaaaaa,halafu tukikosoa PhD ya Magu mnakuja hapa kumtetea,hivi Magu aliwezaje kuandika thesis yake kuclaim PhD wakati ngeli yake haieleweki?Kuna gazeti linasema 60% ya wahitimu ni vilaza! Nahisi uko ndani ya kundi hili. Nikosoe kama unaweza lakini bila matusi, iweje graduate kama unavyojiita huwezi kuweka punctuation marks, inapostahili? Hata baada ya kukukosoa, bado unaweka alama ya kushangaa bila nafasi. Alama ya kuliza. comma ni hivyo hivyo!!
Chuo gani hicho Boss? Hiyo ni digrii au mzaha?
Jaribu kuona makosa kwenye huo uandikaji wako Boss. Hilo la jinai au hapana, kwa sasa tuliache maana tofauti yako na mimi ni Mbingu na Dunia.
Siko hapa kukufurahisha kwa kukuandikia kiufasaha,ila ukitaka tutakosoana sana tu.
Kuhusu jinai ua hapana,ni wazi umeshindwa ligi kabla hata haijaanza!