Ajali ipi kakaMi nilijuaga huyu msela ameshavuka boda baada ya kukoswa koswa kwny ile ajali,kumbe alikua bado bongo.
Wote wanaompiga watakamatwa au kupotezwaAna report Laizer#BreakingNews
Mwandishi wa Habari za Uchunguzi Bollen Ngetti, Bollen Ngetti, amekamatwa jioni hii na askari 3, na kupelekwa kituo cha polisi stakishari.
View attachment 1176056
Kuna kipindi alipost kwny page yake ya facebook akisema alipata ajali akiwa na gari yake(grande mark 2) mitaa ya ubungo external nadhani,alisema amegongwa na gari nyingine iliyomfuatilia kwa muda mrefu na ilipomgonga ilitokomea kusikojulika.Ajali ipi kaka
Nilikuwa najiuliza hivi nafika comment ya saba kweli pasipo kusoma commeny yako kweli ? Kwambabeverything posted on JF you're conversant with it and you posssess detailed information about it.Eti habari za uchunguzi. Habari za uchunguzi zipi zaidi ya kuanalyse hotuba au matendo ya wengine?
Mapovu halali yako teh teh!Eti habari za uchunguzi. Habari za uchunguzi zipi zaidi ya kuanalyse hotuba au matendo ya wengine?
Tuendelee kukaa kimya hadi tutakapokamatwa wote ndipo akili zitakapokwenda kufungukia huko magerezani.
Kwa sasa tuendelee kupiga kelele kwenye mitandao sababu bado zamu yetu haijafika.
Bby njoo inbobo tuyajengeEti habari za uchunguzi. Habari za uchunguzi zipi zaidi ya kuanalyse hotuba au matendo ya wengine?
Na yeye mmepanga kumnyongea Mkuranga ?Huyo jamaa ni mropokaji bora akapumzike uko akitoka ajifunze
Angalau leo hamjaanza na gear namba tatu aka kutekwa na watu wasiojulikanaMwandishi wa Habari za Uchunguzi Bollen Ngetti, Bollen Ngetti, amekamatwa jioni hii na askari 3, na kupelekwa kituo cha Polisi Stakshari.
View attachment 1176056
Bora umemwambia mkuu. Wiki hii naona kama kawekewa pilipili. AnywaysWe punguza ukimbelembele!
Ova
Hahaha hata Kenya kuna wajaluo, ila sio mbaya bado yuko ndani ya East Africa, ni mwenzetu.Ngetti ni mjaluo pure wa tz. Hata mimi naitwa, _______ ngetti.
Hivi we jamaa umekaa chini kbsaa na unaandika pumba na uharo km huu?Futeni tena.. mnipige na ban...
Mnajifanya ma-dictator who cant embrace different views and idea..
Ingekuwa ya kumtusi MAGU ingebaki..msingefuta
Ukiwa unahubiri uhuru uwe tayariView attachment 1176213