Dar: Mwandishi Maneno Selanyika aliuawa kwa kupigwa risasi akiwa kwake

Dar: Mwandishi Maneno Selanyika aliuawa kwa kupigwa risasi akiwa kwake

Makumbele

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2009
Posts
241
Reaction score
1,056
cd821cc0-1d8f-46af-9da0-a2cbfb5b04f9.jpeg


Alikuwa hajasikia tangazo la Polisi la mwisho kutoka nje saa 12 jioni, akaenda kununua mkate...

Majirani wanasema mtoto alilia juice akaenda kumnunulia, akapigwa risasi kifuani.

Marehemu alikuwa nyumbani kwake, Mbezi Luis.

Hadi jana jioni, bado mwili ulikuwa uko chumba cha kuhifadhia maiti.


====================

Mwanahabari Maneno Selanyika ambaye aliwahi kuwa Mwandishi wa Habari katika Media tofauti ikiwemo New Habari amefariki Dunia kwa kupigwa shaba wakati wa mbilinge la maandamano lililodumu kwa siku kadhaa hapa TZ kuanzia siku ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025.

Taarifa kutoka katika magroup ya WhatsApp zinaeleza Maneno Selanyika alikuwa hajasikia tangazo lililotolewa na Jeshi la Polisi kuwa hakuna raia anayetakiwa kutoka nje kuanzia Saa 12 Jioni wakati wa maandamano hayo.

Inaelezwa kuwa alitoka kwenda kununua mahitaji dukani kwa ajili ya mtoto wake maeneo ya Mbezi Luis Jijini Dar, akakutana na shaba ya kifua na kwamba mwili wake bado haujazikwa hadi leo tarehe nne Novemba 2025.
 
Sasa kudeal na kila wamiliki bunduki familia zao kufa.
 
Maneno Selanyika.jpg

Mwanahabari Maneno Selanyika ambaye aliwahi kuwa Mwandishi wa Habari katika Media tofauti ikiwemo New Habari inadaiwa amefariki Dunia kwa kupigwa shaba wakati wa mbilinge la maandamano lililodumu kwa siku kadhaa hapa TZ kuanzia siku ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025.

Taarifa kutoka katika magroup ya WhatsApp zinaeleza Maneno Selanyika alikuwa hajasikia tangazo lililotolewa na Jeshi la Polisi kuwa hakuna raia anayetakiwa kutoka nje kuanzia Saa 12 Jioni wakati wa maandamano hayo.

Inaelezwa kuwa alitoka kwenda kununua mahitaji dukani kwa ajili ya mtoto wake maeneo ya Mbezi Luis Jijini Dar, akakutana na shaba ya kifua na kwamba mwili wake bado haujazikwa hadi leo tarehe nne Novemba 2025.

Mwenye taarifa kamili atujuze kuhusu taarifa hii
 
Hao mbwa hata mimi walinikosa kwa style hyo hiyo. Nguvu nyingi, akili kisoda. Ghafla nilikutana nao uso kwa uso wakiwa kwenye pick up yao yenye usajili wa PT..... wakitafuta watu wa kuwaua kwa kisingizia cha kupiga marufuku watu kutoka nje.

Nisingekuwa na akili ya haraka, mpaka muda huu Tate Mkuu angekuwa ni zilipendwa.
 
Hao mbwa hata mimi walinikosa kwa style hyo hiyo. Nguvu nyingi, akili kisoda. Ghafla nilikutana nao uso kwa uso wakiwa kwenye pick up yao yenye usajili wa PT..... wakitafuta watu wa kuwaua kwa kisingizia cha kupiga marufuku watu kutoka nje.
Nisingekuwa na akili ya haraka, mpaka muda huu Tate Mkuu angekuwa ni zilipendwa.
Akili ya haraka ipi hiyo babu uliitumia?
 
Hao mbwa hata mimi walinikosa kwa style hyo hiyo. Nguvu nyingi, akili kisoda. Ghafla nilikutana nao uso kwa uso wakiwa kwenye pick up yao yenye usajili wa PT..... wakitafuta watu wa kuwaua kwa kisingizia cha kupiga marufuku watu kutoka nje.
Nisingekuwa na akili ya haraka, mpaka muda huu Tate Mkuu angekuwa ni zilipendwa.
Tupe mbinu mkuu
 
Do not give power to the ineligible, haya ndio matokeo ya kumpa kichaa Rungu.

And yeah, we'll pay
 
Tupe mbinu mkuu
Ile papatu papatu siwezi kumwambia mtu. Jambo la kushukuru nilifanikiwa kupona, na ndani ya masaa machache baadaye wakafanikiwa kuwaua raia wawili maeneo yale yale! Kisa tu walikuwa nje. Mzee mwenzangu kati ya hao wahanga wawili, alitandikwa risasi ya kichwa na kufa papo hapo.
 
Hao mbwa hata mimi walinikosa kwa style hyo hiyo. Nguvu nyingi, akili kisoda. Ghafla nilikutana nao uso kwa uso wakiwa kwenye pick up yao yenye usajili wa PT..... wakitafuta watu wa kuwaua kwa kisingizia cha kupiga marufuku watu kutoka nje.
Nisingekuwa na akili ya haraka, mpaka muda huu Tate Mkuu angekuwa ni zilipendwa.
Pole sana ndugu
 
Back
Top Bottom