Itika Mapatano
Member
- Oct 17, 2019
- 74
- 61
Moto mkubwa umezuka katika Nyumba iliyopo Kitongoji cha Tengeru Sokoni Kata ya Akeri Wilaya ya Arumeru Arusha.
Moto ulianza mnamo saa 7 ya Usiku na jitihada za kuuzima moto huo zilizofanywa na Wananchi wa Eneo Hilo na baadae Fire ilipofika ziliweza kufanikiwa majira ya saa 9 usiku.
Chanzo Cha moto huo inadhaniwa kuwa umeme . Thamani ya Mali zilizo teketezwa na moto huo bado hazijajulikana zikiwemo mashine za Fundi maarufu wa viatu Damas Mbuya
Moto ulianza mnamo saa 7 ya Usiku na jitihada za kuuzima moto huo zilizofanywa na Wananchi wa Eneo Hilo na baadae Fire ilipofika ziliweza kufanikiwa majira ya saa 9 usiku.
Chanzo Cha moto huo inadhaniwa kuwa umeme . Thamani ya Mali zilizo teketezwa na moto huo bado hazijajulikana zikiwemo mashine za Fundi maarufu wa viatu Damas Mbuya