Ingawa kuvunjiwa nyumba si kitu cha kufurahia, Lakini na wewe mbunge (Kiongozi) unawezaje kujenga nyumba sehemu ya barabara? (Sehemu zisizopimwa rasmi) Unaonyesha jinsi usivyo kiongozi makini. Unatakiwa uonyeshe mfano wa kufuhata sheria. Kwahiyo ulitaka wabomoe nyumba za wananchi wengine wewe yako waiache? Dah viongozi wengine nao .....