MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,207
- 2,387
Unajua tunaishi na watu wapumbavu sana humu duniani, mpaka mtu unaishia kukiri kweli Mungu ni mwema!Kama unaishi kama malaika kwa jasho ulilolihangaikia kuna shida gani!? Wewe maskini usiejituma umefaidika nini na ubomoaji huu!?