Una undugu na LipumbaKumbe ukishikwa panauma..usianzishe ugomvi wakati huwezi
Ushawahi umwa degedege? Sababu tatizo linaweza kuwa linazidi ila watu wako wakaribu hawajui jinsi gani ya kukusaidiaUna undugu na Lipumba
Mkuu hebu fikisha na hili.Wakuu hii mada yenu nimeifikisha kwenye group letu la wana dar lux(blue) whatsapp kwa kuwa wahusika wako kule nahakika watatupa majibu mazuri na ni watu wasio ficha na pia madereva wao pia wako kule watatoa majibu juu ya hii tuhuma
Sasa abiria wanadhalilika vipi??...Cyo kwenda nakugeuza kwa maana ya mchana mmoja, nikwamba mfano gari linatoka Mza asbh j'mosi linafika dar saa saba usiku afu kesho yake asbh gari hilo hilo lirudi Mza huko ndiko namaanisha, lkn pia muda wa mabasi kuondoka stendi ni saa 12 kamili na abiria wanakuwa hapo saa moja kabla ya muda, hivyo kukaa mpaka saa moja kasoro unaweza kuiona taharuki niliyosema
Mabasi ya DAR LUX yafanyayo safari zake ktk baadhi ya mikoa hapa nchini imejikuta ikidharirisha abiria wake baada yakuonekana inapendwa na abiria wengi. Uongozi wa compuni hiyo umejikuta unaingiwa tamaa nakujikuta inalazimisha madereva wake kufika nakugeuza siku hiyo hiyo bila kujali umbali wa safari anayoenda ( yaani go and return) bila kupumzika kwakuwa wapo wawili ktk kila gari. Hali hiyo leo imesababisha Dereva kusinzia mpaka saa moja kasorobo nakuibua taharuki kubwa kwa abiria wa gari Na.2 la Dar-Mza.Hizo ni taarifa nilizozipata kwa mmoja wa wafanyakazi wakampuni hiyo ambae chonde ameomba kuhifadhi jina lake. Kwa mujibu wa bwana huyo ameongeza kusema hata ujira wa madereva wake hauendani na umbali wa safari za Mza tena kwa kwenda nakugeuza.Tuwaombe mamlaka zinazohusika na safari za mabasi kuchunguza hilo swala kwakuwa ni la hatari kwa usalama wa abiria na madereva wake
Cyo kwenda nakugeuza kwa maana ya mchana mmoja, nikwamba mfano gari linatoka Mza asbh j'mosi linafika dar saa saba usiku afu kesho yake asbh gari hilo hilo lirudi Mza huko ndiko namaanisha, lkn pia muda wa mabasi kuondoka stendi ni saa 12 kamili na abiria wanakuwa hapo saa moja kabla ya muda, hivyo kukaa mpaka saa moja kasoro unaweza kuiona taharuki niliyosema
Basi au gari haliangushwi, narudia haliangushwi, bali LINAANGUKA.
Ili uliangushe umepaswa kuwa nje ya basi husika u apply force against the said object.
Unaonekana shuleni ulikuwa unakaba waalimu wewe.
Biniadamu anapaswa kulala masaa mangapi, wanaanza safari saa ngapi na wanatakiwa kulala ikifika saa ngapi.
Usitake kutuambukiza ujinga!!!
Umaanishe eti uingie kazini leo kesho upumzike kwa kuwa unafanya kazi kwenye kiwanda cha nondo!!! Hiyo ndiyo kazi yake, tena wako wawili, wanapokezana, hawapaswi kuendesha kupita 80kph.
Udundulizaji wa abiria ndio kigezo cha kulaza bus!! Kinyume chake linatakiwa lizunguke lilipe mkopo.
Usiwe mgumu kuelewa!kwa hiyo gari linaweza kuanguka au kupata ajali kama halijaendeshwa. yaani gari liwe limepaki halafu lianguke lenyewe au ligongane na kuua watu
Hujaeleweka
Dereva kusinzia mpaka saa moja kasoro robo, ina maana akiwa katika usukani au ofisini kwao?
aliyekuletea habari hdizo muambie awasiliane na namba za SUMATRA zipo katika kila Basi la abiria kioo cha pili toka kiti cha ereva,
Au awasiliane na Chama cha abiria CHAKUA wapo Stand ya Ubungo, Msamvu, Stabd ya Mkoa Dodoma, hata huko Mwanza hawa CHAKUA simu zao zinawasiliana na Traffic Makao Makuu, Traffi wa barabarani wote mikoani, na SUMATRA pia wana Whatsapp/
Kama Basi linageuza na Madereva wanabadilishana, sioni tatizo ila kama Basi ni bovu au kujaza abiria na kuwasimamisha waripoti
Mkuu mara ya mwisho umesafiri lini?Basi alitakiwa aseme hivyo mana alikuwa anakitu cha muhimu ila uwasilishaji ndo kachemka...ila Dar Lux wapo vizuri lakini kuna mikokoteni kama Najimunisa,Green Star(sijui bado lipo)..haya si ya kujiroga kupanda safari ya Mwanza
bado wewe ni mbumbumbu kama dereva ataendesha pasipo uangalifu ajali itatokea vipi? gari halijiongozi ila linaongozwa na dereva huyo ambaye anafika mwanza akiwa amechoka na kuamka na usingiziUsiwe mgumu kuelewa!
Dereva anachofanya ni kukamilisha mfumo wa gari kutembea, akiipa umeme starter itazungusha ingine, mfumo wa vilainishi ukiwa sawa ingine itazunguka (dereva hazungushi crankshaft kwa mikono yake) pump itawaka sambamba na sterter, itasukuma mafuta kwenda kwenye combustion chamber ambako piston zitafanya ule mkandamizo kwenye block ingine na nguvu itatengenezwa pale, (hii nguvu hatengenezi dereva)
Likiwaka dereva ataunganisha (mfumo) ingine na gearbox, hapo hapo gari litaanza kujongea.
LINAJONGE KUELEKEA MFUMO UNAVYO SUPPORT.
Anachofanya dereva ni kulielekeza kimfumo lijongee kwa mwelekeo anaoutaka.
Wakati linajongea mfumo umepaswa kuwa supportive kuufanya mjongeo kuwa sustainable.
Kwa mfano wakati wa kujongea tairi likachomoka ina maana mfumo wa gari unashindwa ku surport acceleration na gari litaanguka!! (dereva) hawi ameliangusha.
Au dereva akilielekeza gari korongoni halikadhalika hawi ameliangusha yeye, bali korongo litakuwa ni gape kwenye mfumo ku surport acceleration hivyo litaanguka lenyewe.
NAAMINI NIMEELEWEKA
Kwenda wapi? Kuwa specific ueleweke mana hata kutoka nje ya sehemu napoishi kwenda nakofanyia kazi na safiri piaMkuu mara ya mwisho umesafiri lini?
Mabasi ya DAR LUX yafanyayo safari zake ktk baadhi ya mikoa hapa nchini imejikuta ikidhalilisha abiria wake baada yakuonekana inapendwa na abiria wengi. Uongozi wa kampuni hiyo umejikuta unaingiwa tamaa na kujikuta inalazimisha madereva wake kufika na kugeuza siku hiyo hiyo bila kujali umbali wa safari anayoenda ( yaani go and return) bila kupumzika kwa kuwa wapo wawili ktk kila gari.
Hali hiyo leo imesababisha Dereva kusinzia mpaka saa moja kasorobo na kuibua taharuki kubwa kwa abiria wa gari Na.2 la Dar-Mza.Hizo ni taarifa nilizozipata kwa mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hiyo ambaye chonde ameomba kuhifadhi jina lake. Kwa mujibu wa bwana huyo ameongeza kusema hata ujira wa madereva wake hauendani na umbali wa safari za Mza tena kwa kwenda nakugeuza.
Tuwaombe mamlaka zinazohusika na safari za mabasi kuchunguza hilo swala kwa kuwa ni la hatari kwa usalama wa abiria na madereva wake