DAR LUX yadhalilisha abiria wake

DAR LUX yadhalilisha abiria wake

Wakuu hii mada yenu nimeifikisha kwenye group letu la wana dar lux(blue) whatsapp kwa kuwa wahusika wako kule nahakika watatupa majibu mazuri na ni watu wasio ficha na pia madereva wao pia wako kule watatoa majibu juu ya hii tuhuma
 
Ulijaribu kutushawishi kuwa Mabasi ya Najmunisa ni mabaya nimekujibu sawasawa na kauli yako mbovu na nimekupa best reason ever.
Imekupasa uwe na adabu.
Tatizo unafikiria kinyumenyume nilikushawishi wewe au aliyeni quote au ashki majinuni..?
 
Basi ipumzike kwani ni binadamu yule kwamba anachoka? ikifika mwanza usiku asubuhi inayofuata inageuza kurudi dar hakuna tatizo hapo, mbona za tunduma, songea, kyela hazipumzikia? Mleta mada atakua ametumwa na wapinzani wa dar lux sio bure.
 
Wakuu hii mada yenu nimeifikisha kwenye group letu la wana dar lux(blue) whatsapp kwa kuwa wahusika wako kule nahakika watatupa majibu mazuri na ni watu wasio ficha na pia madereva wao pia wako kule watatoa majibu juu ya hii tuhuma
Hivi mbna madereva wa dar lux huwa wanaacha kazi sana? Yaani kila siku unakuta madereva wapya
 
Na pia dar lux wana tabia ya kutokuweka madereva wawili kwenye bus. Unakuta bus linatoka dar -tunduma , , ila unakuta ni dereva huyohuyo.. mpka wakati mwngne analalamika..
 
U
Mabasi ya DAR LUX yafanyayo safari zake ktk baadhi ya mikoa hapa nchini imejikuta ikidharirisha abiria wake baada yakuonekana inapendwa na abiria wengi. Uongozi wa compuni hiyo umejikuta unaingiwa tamaa nakujikuta inalazimisha madereva wake kufika nakugeuza siku hiyo hiyo bila kujali umbali wa safari anayoenda ( yaani go and return) bila kupumzika kwakuwa wapo wawili ktk kila gari. Hali hiyo leo imesababisha Dereva kusinzia mpaka saa moja kasorobo nakuibua taharuki kubwa kwa abiria wa gari Na.2 la Dar-Mza.Hizo ni taarifa nilizozipata kwa mmoja wa wafanyakazi wakampuni hiyo ambae chonde ameomba kuhifadhi jina lake. Kwa mujibu wa bwana huyo ameongeza kusema hata ujira wa madereva wake hauendani na umbali wa safari za Mza tena kwa kwenda nakugeuza.Tuwaombe mamlaka zinazohusika na safari za mabasi kuchunguza hilo swala kwakuwa ni la hatari kwa usalama wa abiria na madereva wake
Unatumika si bure!
 
Buses/lorries wanaotakiwa kubadilika ni madereva. Hayo magari yametengenezwa kufanyakazi around the clock.
 
Vitu ambavyo sio realistic. Hata Dar-Kilimanjaro huwezi kwenda na kigeuza.

Watu wanaenda Dar-mwanza wanageuka na maisha yanaendelea huu utaratibu wenu wa madere wawili mmeuleta sasa hiv..tu ila hapo miaka 2-3 nyuma watu washafanya sana hzo kitu gari 1 dere 1 na
pia upande wetu wa gari kubwa huku watu wanapga dar-lusaka gar kubwa dere 1 gar 1 iwe ki ruti kifupi hicho...!!
 
Back
Top Bottom