DAR LUX yadhalilisha abiria wake

DAR LUX yadhalilisha abiria wake

Cyo kwenda nakugeuza kwa maana ya mchana mmoja, nikwamba mfano gari linatoka Mza asbh j'mosi linafika dar saa saba usiku afu kesho yake asbh gari hilo hilo lirudi Mza huko ndiko namaanisha, lkn pia muda wa mabasi kuondoka stendi ni saa 12 kamili na abiria wanakuwa hapo saa moja kabla ya muda, hivyo kukaa mpaka saa moja kasoro unaweza kuiona taharuki niliyosema
Mabasi ya DAR - LUX mengi ni Luxury ya 2x2
yanatoka na kwenda mbali
bado nei yake kubwa km ni YOUTONG
bado mnataka aweke na akiba Mawili yawe standby
Jamani haya mabasi wenzenu wanakopa ili warejeshe na kupata faida/
Serikali ulishajitoa katika biashara hii, CORETCO, DMT, UDA, KAUDO, KAUMA nk
ATCL na TRL tu wenyewe wamechemsha.
litendo cha kuchelewa kuondoka stand dk 15 mnapanic sio kizuri dereva ni binadamu unaweza kukuta alipata matatizo ya tumbo.
Hii mnawafanya nao TABOA watakuja juu, kwani speed 80km/h Dar Mwanza ni siku 2 au 3
akiwawahisha kelele akichelewa kelele
 
Cyo kwenda nakugeuza kwa maana ya mchana mmoja, nikwamba mfano gari linatoka Mza asbh j'mosi linafika dar saa saba usiku afu kesho yake asbh gari hilo hilo lirudi Mza huko ndiko namaanisha, lkn pia muda wa mabasi kuondoka stendi ni saa 12 kamili na abiria wanakuwa hapo saa moja kabla ya muda, hivyo kukaa mpaka saa moja kasoro unaweza kuiona taharuki niliyosema
ulisha safiri dar to mwanza??yaan gari lifike saa sita usiku saa kumi na mbili liwe njiani tena?service linafanyiwa saa ngapi.be seriousy asee
 
Jamani ! Mimi si mfanyakazi na wala si mmiliki wa Dar Lux ! Lakini tarehe 5/9/16 nilikwenda Buzuruga specifically kwenye office zao kwa lengo la kukata tiketi ya hilo basi ! Nilikuta vijana , mmoja akiwa na maji ya kunde au mweupe kama ambavyo tumezoea kusema pamoja na mdada among others ! Nilikuwa nataka tiketi nne kwa maana ya mke wangu na watoto wawili !
Masikitiko yangu ni kuwa , waliniambia hamna shida wanawasiliana na Nyegezi na kuniambia nisubili , na hapo ni baada ya kuwa wameniambia nichague na siti ! Badala yake baada ya muda kidogo wakaniambia basi limejaa na hivyo wakanikatia basi lingine ( lina sifa ya kukimbia sana na siku hiyo ndio nilijua ) . Sasa asubuhi nafika Nyegezi nashuka tu kwenye gari iliyonipeleka , mtu wa kwanza kati ya wale wabeba mizigo wapiga debe , ananiambia Dar lux ina iko tupu akimaanisha nikanunue tiketi ! Unajua nilibaki nimetoa mdomo na hasira juu ,maana niliaminishwa gari zimejaa !
Nashauli uongozi wa hiyo kampuni waweke watu waaminifu kwenye office zao , maana nahisi watu wanatumia jina leni kujinufaisha
 
Back
Top Bottom