100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 10,184
- 36,382
Nahisi inachosha akili, wengine wanaamua kupumzika baada ya kuhakikisha pesa yake imerudi, lakini kuna wengine wanapata hasara, ni kama biashara ya aviation, kuna kampuni zinafunga miezi ni hasara tupu, aisee..Nimesema kwenye uzi mwingine, I'll c&p here:
Biashara ya mabasi ni biashara pasua kichwa kuliko zote.
Scandinavia iliyofanya Mapinduzi kwenye hii sekta ilikufa kifo Cha mende.
Hood imekufa.
Sumry chali.
Sauli yupo hoi siku zake zinahesabika, Achimwene got him in the headlock.
Dar express, Dar Lux, Rungwe waliokuwa powerhouse kwenye hii sekta wote wapo hoi. Etc etc
Turnover kwenye hii sekta ni kubwa mno. Kila miaka miwili wanakuja wengine na kupotea kama upepo household names.
Utasema usimamizi na sababu zote ila sio rahisi kusema hao wote hawajui wanachokifanya. Fanya hii biashara kama unataka kufukia pesa zako.
Nahisi inachosha akili, wengine wanaamua kupumzika baada ya kuhakikisha pesa yake imerudi, lakini kuna wengine wanapata hasara, ni kama biashara ya aviation, kuna kampuni zinafunga miezi ni hasara tupu, aisee..
Sahihi, hata hizi Qatar Airways watu wanafunga mahesabu ya mwaka ni hasara tupu.Transportation business kwa ujumla ni pasua kichwa.
Hii biashara sio poa niliwahi kuwa na mazungumzo na bosi wa zilizokuwa basi za Hekima zilitamba sana miaka ya 2000 mwanzoni route ya Dar-Mbeya-Tunduma.That explains it. Haiwezekani wengine wote wafe ukasema hawajui wanachokifanya there's more to it. Hii ni biashara kichaa kuliko zote.
Hii biashara sio poa niliwahi kuwa na mazungumzo na bosi wa zilizokuwa basi za Hekima zilitamba sana miaka ya 2000 mwanzoni route ya Dar-Mbeya-Tunduma.
Akaniambia msione vyuma tu vinapita barabarani ila mjue wakurugenzi wa mabasi wote tuna sonona
Mara ya mwisho niliona kawekeza zaidi kwenye usafirishaji wa malori, mabasi alipiga chini
Sahihi, hata hizi Qatar Airways watu wanafunga mahesabu ya mwaka ni hasara tupu.
Majini sifahamu.
Simba mtoto ya TANGA ndio mkongwe nchini and still going strong. Tangu miaka ya 60.Abood na Shabiby ndio wakongwe pekee waliobaki, zaidi ya miaka 25 kwenye game. Na wanazidi kushusha vyuma vipya. Wakongwe wengine wote walishatupa vitaulo
Uzuri wa ngoma ingia uicheze.Inakuaje ni biashara kichaa wakati nauli zinepanda bei na mafuta bei iko pale pale?
Barabarani hayupo pekee yake,biashara ya mabus huwa nzuri shule zikifungwa funguliwa au mwisho mwa mwaka.Inakuaje ni biashara kichaa wakati nauli zinepanda bei na mafuta bei iko pale pale?
Hati za yule mjane...na machoziye....hilo ndo jibuNiliwahi kufanya interview na mmiliki wa hizi chuma. Full confidence. Nn kimetokea? Uchawi? Alilewa sifa? Customer care? Nchi nyingine hawa wafanyabiashara husaidiwa maana hutengeneza ajira Ila hapa, mpaka utoke damu masikion ndo TRA wakuachie
View attachment 2860514
Bus za kisasa,anaenda na mda ikiondoka kama imekodiwa na sio daladala,gari nyingi ikizingua dk sifuri nyingi ishakuja ingine kuwafaulisha,uzoefu wa biashara na sio umeuza madini huyo mbio mbio unamwaga mabus.Wajifunze Kwa Abood je yeye huwa anafanyaje zaidi ya miaka 25 yrs
Unamuongeleaje Simba mtoto wa Tanga yupo on the game since early 1970's until now?😊Wajifunze Kwa Abood je yeye huwa anafanyaje zaidi ya miaka 25 yrs
Hakika BANK haipo kwa ajili ya kusaidia mtuUkiwa na biashara inayoitaji investment ya 10Bn, halafu wewe una 12 Bn, kuwa makini sana.
Unaweza u kafanya masifa makubwa bila sababu, na yasiongeze sales.
Huyu bwana alianza kwa sifa sana, na investment kubwa, ila hakuwekeza kwenye sales.
Nakumbuka kupanda ma Bus yake twice, yakiwa na watu chini ya 25, nikasema he will fail.
Authentic growth is a key in business, sio kwa sababu una access na mkopo ukopo.
Mimi sijawahi kopa Bank hat 2m, ila nishawahi fuatwa na Bank wakitaka wanikopeshe 200m.
Hii ni baada ya kuona biashara yangu inaenda na inflow and outflow lf cash ni nzuri.
Huwezi chukua mkopo sababu umefuatwa na Bank, chukua sababu umeone fursa.
Miaka hiyo ilikuwa inaitwa jina gani?Simba mtoto ya TANGA ndio mkongwe nchini and still going strong. Tangu miaka ya 60.
Niliwahi kufanya interview na mmiliki wa hizi chuma. Full confidence. Nn kimetokea? Uchawi? Alilewa sifa? Customer care? Nchi nyingine hawa wafanyabiashara husaidiwa maana hutengeneza ajira Ila hapa, mpaka utoke damu masikion ndo TRA wakuachie
Utafika mbali wanaoendelea ni wasio na mikopo unakuwa na real capitalUkiwa na biashara inayoitaji investment ya 10Bn, halafu wewe una 12 Bn, kuwa makini sana.
Unaweza u kafanya masifa makubwa bila sababu, na yasiongeze sales.
Huyu bwana alianza kwa sifa sana, na investment kubwa, ila hakuwekeza kwenye sales.
Nakumbuka kupanda ma Bus yake twice, yakiwa na watu chini ya 25, nikasema he will fail.
Authentic growth is a key in business, sio kwa sababu una access na mkopo ukopo.
Mimi sijawahi kopa Bank hat 2m, ila nishawahi fuatwa na Bank wakitaka wanikopeshe 200m.
Hii ni baada ya kuona biashara yangu inaenda na inflow and outflow lf cash ni nzuri.
Huwezi chukua mkopo sababu umefuatwa na Bank, chukua sababu umeone fursa.