DAR: Kuna milipuko inasikika katikati ya Mji, kuna nini?

DAR: Kuna milipuko inasikika katikati ya Mji, kuna nini?

Acheni uoga, wahindi wanafanya dewali yao leo.. Halafu walitakiwa watangaze.. na kibali wamepata toka polisi kutumia hayo madude ya kulipua..

Ila wabongo waoga.. Kweli vita hapa bado sana lol..
 
Wahindi wanasherehekea Diwali, pamoja na kuwa hawaruhusiwi kutumia fataki lakini huzitumia tu kusherehekea sikukuu yao.
 
Diwali wanasherehekea ndugu zetu makanjabai....mbona matangazo yalitolewa?....
 
Hawa wapuuzi naona wanajiachia kama wapo kwao aiseee
Jiulizeni nchi za wenzetu kama usa na ulaya huko
Huwa wanafanya upuuzi huu?
Usa Wanafanya na inatambulika na television za huko huonyesha baadhi ya matukio
 
Kwanza Kabisa nikusihii Mod usiunganishe Thread Hii, naomba Tujifunze hapa .

Nianze kwa kusema tu , leo 12:00 kilichotokea Kwakweli ni Usumbufu wa Hali ya juu kuwahi kutokea , Fataki zikizopigwa ni hazistail kabisa Kufanyika Kwnye Jamii ya Watu wengi na wenye Afya Tofautitfauti pasipo kua na Taarifa Rasmi.
Kikicho tokea leo si Kitu kigeni, Fire Works Zimekua zikipigwa bila kujali Matokeo kwa Upande yake kwa Jamii.

Naomba Kufahamu , Process nzima na Utaratibu unavypaswa kua Mpaka Mtu kupata Ruhusa kamili ya Kupiga Fataki.

Je kuna Kuna Public Notes yeyote inapaswa kutolewa kabla ya Kitendo Hicho.

Familia yangu mpaka muda huu wameshindwa Kulala kwa Sababu ya Starehe za watu wachache , sijajua madhara zaidi kwa Upande Wa Kaya Nyingine.
Na Je , kuna Uwanja wa Kisheria Kumruhusu Muathirika wa tukio hilo kupata fidia endapo litamletea madhara kwa namna moja ama nyingine.
 
Ni Fataki zinapigwa hapo maeneo ya Kisutu. Ndugu zetu wana shughuli yao pale tangu Jioni. Hata hivyo waliomba Kibali Polisi.

Nashauri wakiwa Wanategemea kufanya hizo Shughuli zao zinazoambatana na Fataki, basi siku nyingine wawe wanatoa Tangazo Hapa JamiiForums au hata Radio TBC Taifa au TBC1 ili kututoa hofu na kutuweka tayari, vinginevyo watakuja kuua watu kwa Presha.

Hii ya leo ni kubwa kuliko
 
nlkuwa nshatoa pistol yangu chini ya mto'nachungulia nje mapema nijihami[emoji34][emoji34][emoji34]
 
Ni Fataki zinapigwa hapo maeneo ya Kisutu. Ndugu zetu wana shughuli yao pale tangu Jioni. Hata hivyo waliomba Kibali Polisi.

Nashauri wakiwa Wanategemea kufanya hizo Shughuli zao zinazoambatana na Fataki, basi siku nyingine wawe wanatoa Tangazo Hapa JamiiForums au hata Radio TBC Taifa au TBC1 ili kututoa hofu na kutuweka tayari, vinginevyo watakuja kuua watu kwa Presha.

Hii ya leo ni kubwa kuliko
Kila mwaka hufanya hvy nilivyoona CNN wakionyesha sherehe hzo nikajua lzm fataki yarishwe leo
 
Mm nipo tabata segerea, sauti naskia ila sina huwakika inatokea wapi, nikama inatokea sehemu za katikati ya Miji, Milio ni Mikubwa sana na imesikika sii chini ya mara saba, yani milio saba.
 
Ni posta leo naona wahindi wanasherekea diwali sikukuu yao ya india huko niko sehem hiyo wanapiga baruti angani
 
Back
Top Bottom