DAR: Kiwanda cha Superdoll chateketea kwa moto...

DAR: Kiwanda cha Superdoll chateketea kwa moto...

mchakachuaji192

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
366
Reaction score
69
Nimepita maeneo ya Mtava muda si mrefu nimeona magari ya fire yanaelekea huko..

c5345d348a5d10874212247e46fec689.jpg


===========

Later on..

DAR: Moto mkubwa unawaka katika kiwanda cha matairi cha Super Doll kilichopo barabara ya Nyerere. Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika na juhudi za kuuzima zinaendelea.

Taarifa zaidi zitafuata..

moto.jpg
fire.jpg
 

Attachments

  • IMG-20171006-WA0003.jpeg
    IMG-20171006-WA0003.jpeg
    31.5 KB · Views: 122
Wacha iwake moto, siwapendi sana hawa jamaa. Wanakanyaga haki za watu sana.
Wanapenda kesi halafu kesi zenyewe wanahonga ili washinde. Wajane wengi (nawafahamu) wameumizwa sana na hawa Superdoll. Kuna yule kijana wao (jina kapuni) ni mbaya sana, hana huruma na wala utu.

Hawa walishawahi kushirikiana na jaji kiongozi wa zamani (jina kapuni) kudhulumu eneo flani jijini dar. Hovyo kabisa.
Wacha mote uwateketeze tu.
 
Wenye hii kampuni ni akina nani vile..?
 
Back
Top Bottom