Naipongeza serikali ya awamu ya tano kwa kuongeza joto dar- es- salaam.
Aha ha a du! Punguza hasiraKumbe jua linatosha kumulika waovu. Hatutaki mwenge lenu nyie CCM jua hili linatosha. Limulike na kuwachoma zaidi jeshi la Police![]()
Amna bhna sema tu unakifeni. Hatutakucheka. Tangu lini AC ikatoa jotoHahahahaha AC mpaka inatoa joto
Acha mauongo. Kwa Tz kagera ndyo ipo karbu ni equator.Sababu kubwa ni Dunia kulizunguka jua ambapo lipo Tropic ya Capricorn na linakaribia kupita Equator ambapo sisi tupo karibu sana na mstari huo wa Equator hivyo joto lazima lizidi
Feni inaleta Upepo,Amna bhna sema tu una kifeni. Hatutakucheka. Tangu lini AC ikatoa joto
Watz bhna kwa kujikweza!!!
HAHAHAHA...... aisee.... Kumbe samaki mmoja akioza ni wote..... ILA KWAO NI DODOMA SIYO DAR TENA WAUZA WATU....mungu azidi kuwachemsha mpaka muive, machukizo kwa mungu mengi yanaanzia dar! Mungu hapendi binadamu wamaowaua wenzio wasio na hatia, Mungu anawaonya mtubu, mnakataa, siku akiamua kunyoosha mkono wake vilivyo mtahama hapo! poleni sana, hivi kwa nini hamtaki kutubu? mnataka kwenda peponi bila kudedi! kutwa tuwaombee, mbona nyie hamtuombei.?
Ila kweli... Labda uwe Mgeni wa jiji hiliNajua. Dar hii kweli ntaacha kujua kwenye wezi. Ni sawa niende kukaa kigogo, mwananyama kule ndani ndani ntakua nayataka.
Kitu ambacho hakiwezekanndio kitu kinafanya nisipende dar kabisa joto mpaka kero..laiti kariakoo ingekuwa arusha, dar ingebakiwa na wazaramo na joto lao
Zipo factors nyingi znazohathiri joto kuwa karibu na large water bodies ni mojawapo.Acha mauongo. Kwa Tz kagera ndyo ipo karbu ni equator.
Acha kudandia ndege kwa mbele.Feni inaleta Upepo,
AC inaleta Ubaridi,
kazi kwako
Mbona na wewe umenidandia kwa mbele mi sisemi??Acha kudandia ndege kwa mbele.
Duuuh!mungu azidi kuwachemsha mpaka muive, machukizo kwa mungu mengi yanaanzia dar! Mungu hapendi binadamu wamaowaua wenzio wasio na hatia, Mungu anawaonya mtubu, mnakataa, siku akiamua kunyoosha mkono wake vilivyo mtahama hapo! poleni sana, hivi kwa nini hamtaki kutubu? mnataka kwenda peponi bila kudedi! kutwa tuwaombee, mbona nyie hamtuombei.?
NImeshanunu kiwanja Hanang, huku nitakuja kwa msimuDar es Salaam
Tuesday
20th Feb 2018
![]()
Min 24°C
Max 32°C
Wednesday
21st Feb 2018
![]()
Min 25°C
Max 32°C
Thursday
22nd Feb 2018
![]()
Min 24°C
Max 33°C
Friday
23rd Feb 2018
![]()
Min 26°C
Max 33°C