Sinza hakujawahi kuwa uzunguni...unalala na panga tuUtakua unakaa uzunguni. Sisi huku mtaani kwetu ukijaribu kulala hivyo utaamka asubuhi simu wamepita nayo
Hivi Sinza hawaibi kama Kigamboni na Kawe eeh. Kuna ile style yao ya juingiza jimti ndani mbele wanafunga kichoteo.Sinza hakujawahi kuwa uzunguni...unalala na panga tu
Yani mwizi aruke ukute achqne nyavu aingize mti mm bado nakoroma tu...hata nikiwa nmelewa ukigusa dirisha au mlango nashtuka kwanza mm nalala saa 8 usiku.Hivi Sinza hawaibi kama Kigamboni na Kawe eeh. Kuna ile style yao ya juingiza jimti ndani mbele wanafunga kichoteo.
kigali now enrouteArusha hawajambo Mkuu? Dar lini?
entebbe then Dar after 3 weeks.. arusha was good broMi huwa mkoa huwa unanishindaDar es Salaam
Tuesday
20th Feb 2018
![]()
Min 24°C
Max 32°C
Wednesday
21st Feb 2018
![]()
Min 25°C
Max 32°C
Thursday
22nd Feb 2018
![]()
Min 24°C
Max 33°C
Friday
23rd Feb 2018
![]()
Min 26°C
Max 33°C
kigali now enrouteentebbe then Dar after 3 weeks.. arusha was good bro
Moshi maximum temperature ilikua 34 degrees Celsius.Dar es Salaam
Tuesday
20th Feb 2018
![]()
Min 24°C
Max 32°C
Wednesday
21st Feb 2018
![]()
Min 25°C
Max 32°C
Thursday
22nd Feb 2018
![]()
Min 24°C
Max 33°C
Friday
23rd Feb 2018
![]()
Min 26°C
Max 33°C
Sinza hamna wezi kabisa...we tembea hata sa nane bidada, no body care!Hivi Sinza hawaibi kama Kigamboni na Kawe eeh. Kuna ile style yao ya juingiza jimti ndani mbele wanafunga kichoteo.
Tatizo Sinza kila mtu mjanja. Utamwibia nani. Wanaoiba ni wale wa bodaboda sana sana. Huko Kigogo nasikia hata mchana wanaiba.Sinza hamna wezi kabisa...we tembea hata sa name bidada, no body care!
Logwa uishi Kigogo, saa tatu mwisho kwa mwanamke kuzurura lasivyo utakombwa kila kitu
Kuna mateja fulani hapa mori big bon walitokea tandale uzuri lakin, wakaanzaga huo mchezo wa udokozi, wee tuliwavurumusha na wizi wao wakapotea!Tatizo Sinza kila mtu mjanja. Utamwibia nani. Wanaoiba ni wale wa bodaboda sana sana. Huko Kigogo nasikia hata mchana wanaiba.
Polee. Mi mitaa yenye vibaka sikai kabisa.Kuna mateja fulani hapa mori big bon walitokea tandale uzuri lakin, wakaanzaga huo mchezo wa udokozi, wee tuliwavurumusha na wizi wao wakapotea!
Ndugu zangu wanaishi huko Kigogo luanga! Sasa siku nimeenda kuwatembelea vichochoroni hata gari haliingii, nikapaki barabarani kuna kibaa fulani mshenzi mshenzi, vibaka wamejaa hapo, mi hata sijui!huwezi amini nilikabwa nikanyang' anywa pochi ina kila kitu, pesa, simu, vitambulisho!
Saa mbili hiyo usiku, mburaa mbona nilirudi fasta barabarani nikasepa! Nikawambia hao ndugu zangu kazi wanayo asee, eti oo njoo tukukamatie wezi wako tuwapeleke CUF....nikasisitiza sitakujaga huko tena na kazi mnayo mnaoishi huko...sinaga hamu na Kigogo napachukia hataree
Utajuaje sasa...madalali hawasemiPolee. Mi mitaa yenye vibaka sikai kabisa.
Najua. Dar hii kweli ntaacha kujua kwenye wezi. Ni sawa niende kukaa kigogo, mwananyama kule ndani ndani ntakua nayataka.Utajuaje sasa...madali hawasemi






