Amaya bajarat
Member
- Oct 23, 2016
- 11
- 3
Hawa huwa wanatulisha haramu huku Moshi kipindi hiki cha Kuhesabiwa.Tupa lupango kule!!
hapana yule ni ccm
huyo atakuwa tapeli
Huyu je?maana picha yake haijawekwa wazi hadi sasa,hata leo kwenye magazet HAIPO
HaswaaaHizi ndio issue police wanatakiwa kudeal nazo.
Imewekwa gazetini kama tuhuma pia sio hukumu. Itasaidia kama kuna watu wengine wanamtuhumu kujitokeza.mbona ni tuhuma tu askari wanaweka kwenye media kweli sheria imeangaliwa hapo maana nilifikiri labda ni hukumu tayari
Je huyu mtuhumiwa akikataaa mashitaka na kusema kuwa ni ugomvi kati yake na askari
Tafadhalini zingatieni sheria na acheni kuchukulia sheria mikononi