Dar inawapotezea watu muda

Jpm alisema mnaita 500 jero mtaiita jina lake halisi.asantehh kwa kutupa mlejesho kwamba umerudi mkoani
 
Jpm alisema mnaita 500 jero mtaiita jina lake halisi.asantehh kwa kutupa mlejesho kwamba umerudi mkoani
Sikuondoka kipindi cha jpm,kipindi cha kikwete,halafu nimegundua tunatofautiana kudefine maisha,mimi nayaona mabovu wenzangu wanayaona mazuri,nadhani ni nature na upeo...tafsiri nyingi nazoziona za maisha ya chini kabisa....unaota kuwa na nyumba na gari moja au mawili mimi naota niwe msaada kwa watu zaidi ya 300 na kuendelea,ukiwa na upeo mkubwa utanielewa.
 
umekaa kwenye masofa ya mama mdogo hapo,unapumua tu hujui dunia inakokwenda,unategemea akili ifanye kazi kweli?
Jpm alisema mnaita 500 jero mtaiita jina lake halisi.asantehh kwa kutupa mlejesho kwamba umerudi mkoani
 
[emoji106]
 
[emoji106]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…