Chief-Mkwawa, mkuu naomba kuuliza :
A). Kuhusu simu to TV display.. Umefahamisha kwamba kumbe kwa smart TV, hamna haja ya cable ili kuwatch playback kutoka kwenye simu. So, kwa smart TV aina ya SONY Bravia, inatumia standard gani for Wifi?
B). Huwa nawatch videos kwenye smart TV kwa kuchomeka flash kule nyuma ya TV. TV ipo fixed ukutani, so inakuwa usumbufu sana kila mara kuweka flash kule nyuma ya TV. Yaani ile weka toa weka toa inakera na kuchosha coz kaupenyo ni kafinyu sana kati ya ukuta na tv. Pia naona ni risk kwa TV kuishika shika kila mara ili kuchomeka flash kule nyuma.
Je kuna cable ambayo upande mmoja inameza flash disk, na upande mwingine inazama kwenye USB port? Yaani niwe naconnect flash disk to TV by using cable ndefu kiasi.
Ahsante