Dar hii nitapata wapi USB-to-HDMI converter?

Dar hii nitapata wapi USB-to-HDMI converter?

809007382264020a150b1b9d4b9da958.jpg
Mimi natafuta hii bei Inaweza kuwa sh ngapi WAKUU
elfu tatu aggrey, ukilalamika hadi elfu mbili. ila hakikisha simu yako ina otg kwanza, si kila simu unakubali huo waya
 
wakuu hebu tupeni maujanja ya kutumia hivi vitu kwa faida ya wote..mfano nina simu yangu ya samsung j7 na nina tv ya samsung sio smart tv..nataka kuangalia u tube ..from sim to tv..au nichague app yoyote ile kwenye sim niangalie kwenye tv yangu.je nitumie vifaa gani ili niunganishe from sim to tv asant .
nunua kifaa kama hiki

14761217391786.jpg


kinauzwa kama dola 10 online na mitaani hapa bongo ni 60,000 kitaipa tv yako uwezo wa wifi na kuwasiliana na simu ili uweze kuona vitu vya simu kwenye tv
 
nunua kifaa kama hiki

14761217391786.jpg


kinauzwa kama dola 10 online na mitaani hapa bongo ni 60,000 kitaipa tv yako uwezo wa wifi na kuwasiliana na simu ili uweze kuona vitu vya simu kwenye tv
Inapatikana wapi chief.
 
Chief-Mkwawa mada hapa nimeielewa sijailewa.
Nifahamishe ni Cable gani/inaitwaje ambayo itaniwezesha
Smartphone yangu kuweza kuonekana katika TV. Yaani kinachoonekana ktk simu kidisplay katika TV.
Nipe jina la hiyo Cable na bei yake na wapi naweza kupata.
ndo bei zake nimeshanunua mimi mwenyewe mara nyingi tu
 
Chief-Mkwawa mada hapa nimeielewa sijailewa.
Nifahamishe ni Cable gani/inaitwaje ambayo itaniwezesha
Smartphone yangu kuweza kuonekana katika TV. Yaani kinachoonekana ktk simu kidisplay katika TV.
Nipe jina la hiyo Cable na bei yake na wapi naweza kupata.
kuna mambo mengi mkuu, huyo wa juu ameulizia cable ya otg ambayo ndio 3,000

inayoonyesha kitu cha simu kwenye tv inaitwa MHL sema dukani we sema usb ya simu kwenda HDMI maana hilo neno MHL pengine hawalijui. bei ni 15,000 na sio simu zote zinakubali hio cable
 
Shukrani sana. Na ni maduka gani naweza kupata
Ya simu au Computer?
kuna mambo mengi mkuu, huyo wa juu ameulizia cable ya otg ambayo ndio 3,000

inayoonyesha kitu cha simu kwenye tv inaitwa MHL sema dukani we sema usb ya simu kwenda HDMI maana hilo neno MHL pengine hawalijui. bei ni 15,000 na sio simu zote zinakubali hio cable
 
sawa mkuu chief...je unaweza kutusaidia aina ya simu ambazo zinakubaliana hicho kifaa? asante
 
Na je ntajuaje simu yangu inasapoti mhl cable ya pin ngapi.
Natumia Samsung SM-N750L
kuna mambo mengi mkuu, huyo wa juu ameulizia cable ya otg ambayo ndio 3,000

inayoonyesha kitu cha simu kwenye tv inaitwa MHL sema dukani we sema usb ya simu kwenda HDMI maana hilo neno MHL pengine hawalijui. bei ni 15,000 na sio simu zote zinakubali hio cable
 
tumekuelewa chief..ila jambo la mwisho chief je lazima utumie smart tv ? au tv ya aina yoyote ile..kwani watu wengi wanasema kama huna smart tv..huwezi kuona kitu.je kuna ukweli hapo? shukran
 
Back
Top Bottom