Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,068
- 43,510
elfu tatu aggrey, ukilalamika hadi elfu mbili. ila hakikisha simu yako ina otg kwanza, si kila simu unakubali huo wayaMimi natafuta hii bei Inaweza kuwa sh ngapi WAKUU![]()
elfu tatu aggrey, ukilalamika hadi elfu mbili. ila hakikisha simu yako ina otg kwanza, si kila simu unakubali huo wayaMimi natafuta hii bei Inaweza kuwa sh ngapi WAKUU![]()
Mpe moyoelfu tatu aggrey, ukilalamika hadi elfu mbili. ila hakikisha simu yako ina otg kwanza, si kila simu unakubali huo waya
nunua kifaa kama hikiwakuu hebu tupeni maujanja ya kutumia hivi vitu kwa faida ya wote..mfano nina simu yangu ya samsung j7 na nina tv ya samsung sio smart tv..nataka kuangalia u tube ..from sim to tv..au nichague app yoyote ile kwenye sim niangalie kwenye tv yangu.je nitumie vifaa gani ili niunganishe from sim to tv asant .
sio kumpa moyo ndio bei zake, na nishanunua/kununulia watu zaidi hata ya mara 10 bei ni hio hioMpe moyo
ndo bei zake nimeshanunua mimi mwenyewe mara nyingi tuMpe moyo
Inapatikana wapi chief.nunua kifaa kama hiki
![]()
kinauzwa kama dola 10 online na mitaani hapa bongo ni 60,000 kitaipa tv yako uwezo wa wifi na kuwasiliana na simu ili uweze kuona vitu vya simu kwenye tv
ndo bei zake nimeshanunua mimi mwenyewe mara nyingi tu
kuna mambo mengi mkuu, huyo wa juu ameulizia cable ya otg ambayo ndio 3,000Chief-Mkwawa mada hapa nimeielewa sijailewa.
Nifahamishe ni Cable gani/inaitwaje ambayo itaniwezesha
Smartphone yangu kuweza kuonekana katika TV. Yaani kinachoonekana ktk simu kidisplay katika TV.
Nipe jina la hiyo Cable na bei yake na wapi naweza kupata.
kuna mambo mengi mkuu, huyo wa juu ameulizia cable ya otg ambayo ndio 3,000
inayoonyesha kitu cha simu kwenye tv inaitwa MHL sema dukani we sema usb ya simu kwenda HDMI maana hilo neno MHL pengine hawalijui. bei ni 15,000 na sio simu zote zinakubali hio cable
kuna mambo mengi mkuu, huyo wa juu ameulizia cable ya otg ambayo ndio 3,000
inayoonyesha kitu cha simu kwenye tv inaitwa MHL sema dukani we sema usb ya simu kwenda HDMI maana hilo neno MHL pengine hawalijui. bei ni 15,000 na sio simu zote zinakubali hio cable
computer haihitaji huo waya si tayari ina port nyingi tu za usb? au unamaanisha wa HDMI?Shukrani sana. Na ni maduka gani naweza kupata
Ya simu au Computer?
Shukrani chief.
ukiingia ile link utaona, wanaandika ni generation ipi ya MHL simu yako inakubali. cha muhimu simu yako iwepo kwanzaNa je ntajuaje simu yangu inasapoti mhl cable ya pin ngapi.
Natumia Samsung SM-N750L
link imetolewa sana page za nyuma, angaliasawa mkuu chief...je unaweza kutusaidia aina ya simu ambazo zinakubaliana hicho kifaa? asante
ukiingia ile link utaona, wanaandika ni generation ipi ya MHL simu yako inakubali. cha muhimu simu yako iwepo kwanza
note 2 kupanda simu za samsung zinataka 11pin hivyo itabidi uwe na cable ya HDMI na adapter kutoka 5pin kwenda 11pin.Simu yangu ipo lakini sijaona ni Version gani ya MHL
note 2 kupanda simu za samsung zinataka 11pin hivyo itabidi uwe na cable ya HDMI na adapter kutoka 5pin kwenda 11pin.
![]()
kipo kama hivyo.