Ftc
Senior Member
- Apr 30, 2017
- 144
- 114
Zinauzwa bei gani vile vile unafanyaje kwenye simu kujua kama ina mhlhivyo vifaa vimejaa kibao aggrey ila zingatia haya
1. hakikisha simu yako ina mhl
2. ujue inasuport mhl version ipi, maana zipo nyingi na kila version ya mhl ina idadi ya pin zake tofauti kuna ya pin 5, pin 11 etc
mfano yako inakubali pin 11 ukanunua ya pin 5 itabidi utafute tena adapter ya pili ya pin 5 kwenda 11.
mimi yangu nilinunua makutano ya aggrey na likoma yale yenye acessory za simu.