Dar hii nitapata wapi USB-to-HDMI converter?

Dar hii nitapata wapi USB-to-HDMI converter?

kvd mjini makunganya shilingi 120,000

pia kuna maduka morogoro road nimeziona 70,000 ila sio nzuri kama za kvd.

kama unataka kwa ajili ya desktop ni bora tu utafute gpu kuliko HDMI converter
Gpu yenye HDMI tupe bei ya chin inakaaje??
 
hapa mkuu sijakuelewa kabisa, nataka ya ku connect cpu yangu na my smart/flat tv.
mimi pia nilikuwa na desktop nikataka kuconect na tv kuulizia madukani hizo bei za HDMI to VGA converter zikanikatisha tamaa, mwisho wa siku nikanunua gpu yenye HDMi kwa 60,000 nikachomeka kwenye cpu.

jaribu kuzunguka madukani ukipata around 50,000 kushuka sio mbaya.

pia uwe makini kuna waya ambazo sio converter hizi hazifanyi kazi zipo kama hivi

0012396_pearltech-hdmi-to-vga-cable.jpeg


zipo kibao mjini around 10,000.

unayotakiwa kununua ni converter yenyewe itakuwa na kama kibox kwenye waya ipo kama hivi

font-b-HDMI-b-font-Male-to-VGA-Female-Adapter-with-Chip-Black-for-font1-500x500.jpg
 
mimi pia nilikuwa na desktop nikataka kuconect na tv kuulizia madukani hizo bei za HDMI to VGA converter zikanikatisha tamaa, mwisho wa siku nikanunua gpu yenye HDMi kwa 60,000 nikachomeka kwenye cpu.

jaribu kuzunguka madukani ukipata around 50,000 kushuka sio mbaya.

pia uwe makini kuna waya ambazo sio converter hizi hazifanyi kazi zipo kama hivi

0012396_pearltech-hdmi-to-vga-cable.jpeg


zipo kibao mjini around 10,000.

unayotakiwa kununua ni converter yenyewe itakuwa na kama kibox kwenye waya ipo kama hivi

font-b-HDMI-b-font-Male-to-VGA-Female-Adapter-with-Chip-Black-for-font1-500x500.jpg
Hii picha ya Chini haifunguki hebu iweke tena
 
mimi pia nilikuwa na desktop nikataka kuconect na tv kuulizia madukani hizo bei za HDMI to VGA converter zikanikatisha tamaa, mwisho wa siku nikanunua gpu yenye HDMi kwa 60,000 nikachomeka kwenye cpu.

jaribu kuzunguka madukani ukipata around 50,000 kushuka sio mbaya.

pia uwe makini kuna waya ambazo sio converter hizi hazifanyi kazi zipo kama hivi

0012396_pearltech-hdmi-to-vga-cable.jpeg


zipo kibao mjini around 10,000.

unayotakiwa kununua ni converter yenyewe itakuwa na kama kibox kwenye waya ipo kama hivi

font-b-HDMI-b-font-Male-to-VGA-Female-Adapter-with-Chip-Black-for-font1-500x500.jpg
Display port to Vga vp inaweza patkana???
 
tecno ninavyofahamu hazikubali, kuangalia list ya simu za mhl nenda hapa

MHL – Devices

MHL ni kifupi cha mobile high definition link ni feature inawekwa kwenye usb ya simu ili uweze kuangalia content za simu kwenye tv au kifaa chengine cha HDMI kwa quality kubwa, picha yake ni kama aliyoweka mtoa mada juu na nyengine zinakuwa na waya wa kuchaji kama hii

item_L_5836083_3099845.jpg


kama unavyoiona upande unakuwa ni usb ya simu na upande ni hdmi.
Mkuu Nashukuru
 
mimi pia nilikuwa na desktop nikataka kuconect na tv kuulizia madukani hizo bei za HDMI to VGA converter zikanikatisha tamaa, mwisho wa siku nikanunua gpu yenye HDMi kwa 60,000 nikachomeka kwenye cpu.

jaribu kuzunguka madukani ukipata around 50,000 kushuka sio mbaya.

pia uwe makini kuna waya ambazo sio converter hizi hazifanyi kazi zipo kama hivi

0012396_pearltech-hdmi-to-vga-cable.jpeg


zipo kibao mjini around 10,000.

unayotakiwa kununua ni converter yenyewe itakuwa na kama kibox kwenye waya ipo kama hivi

font-b-HDMI-b-font-Male-to-VGA-Female-Adapter-with-Chip-Black-for-font1-500x500.jpg
Hiyo unayosema ipo kibao mjini ni Serial to HDMI? Maana nimetafuta Bongo Serial female to HDMI cable sikuweza kuipata. Nimeipata only USB to RS232 male na nilikuwa nahitaji hiyo nyingine pia
 
Agiza ebay bei chee, na quality ya uhakika
 
Hiyo unayosema ipo kibao mjini ni Serial to HDMI? Maana nimetafuta Bongo Serial female to HDMI cable sikuweza kuipata. Nimeipata only USB to RS232 male na nilikuwa nahitaji hiyo nyingine pia
bila converter? cable tupu? nimewahi ziona uhuru na msimbazi kuelekea uhuru na congo, kuna sehemu wanauza vifaa used vya console kama playstation.
 
bila converter? cable tupu? nimewahi ziona uhuru na msimbazi kuelekea uhuru na congo, kuna sehemu wanauza vifaa used vya console kama playstation.
Yes bila converter. Ni duka gani exactly?
 
hivyo vifaa vimejaa kibao aggrey ila zingatia haya

1. hakikisha simu yako ina mhl
2. ujue inasuport mhl version ipi, maana zipo nyingi na kila version ya mhl ina idadi ya pin zake tofauti kuna ya pin 5, pin 11 etc

mfano yako inakubali pin 11 ukanunua ya pin 5 itabidi utafute tena adapter ya pili ya pin 5 kwenda 11.


mimi yangu nilinunua makutano ya aggrey na likoma yale yenye acessory za simu.
Hml ndio nini na utazijuajee
 
Wadau nahitaji hii kifaa. Nitapata wapi hapa Dar? Kama unayo na huitumii naomba uniuzie.

View attachment 503156
ninayo converter kama hiyo ya HDMI-VGA nilitumia mwezi na nusu baada ya kupata desktop yenye GPU hiyo nikaiweka ndani, kama unahitaji kweli nicheki humo 0718334325
 
Back
Top Bottom