Zugak17
JF-Expert Member
- Aug 9, 2014
- 1,171
- 383
Gpu yenye HDMI tupe bei ya chin inakaaje??kvd mjini makunganya shilingi 120,000
pia kuna maduka morogoro road nimeziona 70,000 ila sio nzuri kama za kvd.
kama unataka kwa ajili ya desktop ni bora tu utafute gpu kuliko HDMI converter
– Devices
